Haahaaahaaa....ukigeuka huku Uzi mara hujakaa sawa Uzi mwingine[emoji16][emoji16]Spark una moto sana wa kushusha nyuzi aisee [emoji2][emoji2] tupe muda wa kutosha basi baina ya uzi na uzi ili angalau tusahau kama uliweka bandiko
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie muangaliege mtu unajua fika kuwa huyu mwanamke sina future nae lakini mnaachia mastyle na mautamu kama yote unafikiri mtu ataacha kung'ang'ania
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Kumbe ndo walivo eeh!Mkuu piga chini huwa yanarudiana na mabwana zao walowazalisha itakula kwako mkuu mm nakupa ushauri tu , mamamaeeeeeeeee , kuna moja lilitaka niua kwa mawazo yaami nilikuwa nalihudumia misimbazi ya kutosha balaa wakati nikienda chirch tena kwa wiki nzima mara moja natoa buku tatu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji9] [emoji1] pumbavu zangu , lakini lenyewe likawa lina nipiga na mwisho wa siku likarudiana na kidampa mwenzio nyooooooooooh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijaribu kuchungulia kwa sim nikaona anatumchepuko tudogo na bado anaendelea kuwasiliana na njemba lake ingawa halimtaki![emoji15][emoji15][emoji15]Tatizo ni 'u single mother' wake au kiburi na ujuaji?[emoji848]
Hivi thread za single mother humu JF ziko ngapi..?
Wanakula vyangu lkn hawataki kutoa!
Wanakula vyangu lkn hawataki kutoa! - JamiiForums
Ukiwa muongo unatakiwa uwe na kumbukumbu pia
hakuna mechi inaanzaga timu moja ikiwa ishapewa goli moja la kuongoza [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kucheza na hisia zake,huo ni unyanyasaji anaweza kujiua;nenda kamsikilize na msuluhishane maisha yaendelee.
Ok usimuache kwa kumshtukiza tafuta njia za kumuacha ambazo hazitampa maumivu.
Huna adabu aisee hivi baadhi ya wanawake huwa wanaokotea wapi takataka kama hizi aisee 😤😤Ni mwezi mmoja sasa tangu nimekutana na huyo single mom,mwanzoni nilimwona kama ana adabu,anauvumilivu na heshima nikaamua kujitosa,hana kaz yeyote ya kujiingizia kipato,kidume kilipiga mimba kikasepa! Sasa analea mwenyewe.Kwa kipindi hiki kifupi nimegundua anakiburi,ni mbishi na anajifanya anajua kila kitu.Nilikua namuhudumia kwa kila kitu naye ananipa gegedo.Jicho langu la tatu limeona napoteza muda bora nipige chini na nisonge mbele! Sasa anakuja na gia kua anaujauzito wangu na anataka kutoa,nikimuuliza umepima wapi na lini hataki kusema,nimemwambia kama ipo kwel asitoe ntalea ikithibitika kama ni kwel n dam yangu,mana najua kuna vipimo vya DNA.Anachong'ang'ania ni kwamba tuende hosp.au nikutane nae mahal tuyamalize!! Sasa cjui tuyamalize vipi! Nimemblock lkn bado anatumia sim zengine kunitafuta.Anapiga sim na kutuma msg kama chiz! [emoji3][emoji3][emoji3].Nimejaribu kumdanganya nimerudiana na mke wangu lkn anasema anataka kuja kufanya fujo.Nahis atakua na matatizo ya akil[emoji16][emoji16][emoji16] au ameniona mshua kwa misimbaz nlokua nantupia mara kwa mara.Kiufupi simtaki tena n pasua kichwa.Je? wadau,watu wa dizai hii hua mnafanyaje ili mpotezeane! Mana huyu hasikiiiiii..,
Sent using Jamii Forums mobile app
akijibu nitagi, wana roho ngumu kama jiwe ku date singo mazaUna roho ngumu hivi mtu unawezaje kula mwanamke aliyezalishwa na nwanaume mwenzio wakati fresh product zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umemshindwa hebu nitupie no yake PM nikomae nayeNi mwezi mmoja sasa tangu nimekutana na huyo single mom,mwanzoni nilimwona kama ana adabu,anauvumilivu na heshima nikaamua kujitosa,hana kaz yeyote ya kujiingizia kipato,kidume kilipiga mimba kikasepa! Sasa analea mwenyewe.Kwa kipindi hiki kifupi nimegundua anakiburi,ni mbishi na anajifanya anajua kila kitu.Nilikua namuhudumia kwa kila kitu naye ananipa gegedo.Jicho langu la tatu limeona napoteza muda bora nipige chini na nisonge mbele! Sasa anakuja na gia kua anaujauzito wangu na anataka kutoa,nikimuuliza umepima wapi na lini hataki kusema,nimemwambia kama ipo kwel asitoe ntalea ikithibitika kama ni kwel n dam yangu,mana najua kuna vipimo vya DNA.Anachong'ang'ania ni kwamba tuende hosp.au nikutane nae mahal tuyamalize!! Sasa cjui tuyamalize vipi! Nimemblock lkn bado anatumia sim zengine kunitafuta.Anapiga sim na kutuma msg kama chiz! [emoji3][emoji3][emoji3].Nimejaribu kumdanganya nimerudiana na mke wangu lkn anasema anataka kuja kufanya fujo.Nahis atakua na matatizo ya akil[emoji16][emoji16][emoji16] au ameniona mshua kwa misimbaz nlokua nantupia mara kwa mara.Kiufupi simtaki tena n pasua kichwa.Je? wadau,watu wa dizai hii hua mnafanyaje ili mpotezeane! Mana huyu hasikiiiiii..,
Sent using Jamii Forums mobile app