Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ni mwezi mmoja sasa tangu nimekutana na huyo single mom,mwanzoni nilimwona kama ana adabu,anauvumilivu na heshima nikaamua kujitosa,hana kaz yeyote ya kujiingizia kipato,kidume kilipiga mimba kikasepa! Sasa analea mwenyewe.Kwa kipindi hiki kifupi nimegundua anakiburi,ni mbishi na anajifanya anajua kila kitu.Nilikua namuhudumia kwa kila kitu naye ananipa gegedo.Jicho langu la tatu limeona napoteza muda bora nipige chini na nisonge mbele! Sasa anakuja na gia kua anaujauzito wangu na anataka kutoa,nikimuuliza umepima wapi na lini hataki kusema,nimemwambia kama ipo kwel asitoe ntalea ikithibitika kama ni kwel n dam yangu,mana najua kuna vipimo vya DNA.Anachong'ang'ania ni kwamba tuende hosp.au nikutane nae mahal tuyamalize!! Sasa cjui tuyamalize vipi! Nimemblock lkn bado anatumia sim zengine kunitafuta.Anapiga sim na kutuma msg kama chiz! [emoji3][emoji3][emoji3].Nimejaribu kumdanganya nimerudiana na mke wangu lkn anasema anataka kuja kufanya fujo.Nahis atakua na matatizo ya akil[emoji16][emoji16][emoji16] au ameniona mshua kwa misimbaz nlokua nantupia mara kwa mara.Kiufupi simtaki tena n pasua kichwa.Je? wadau,watu wa dizai hii hua mnafanyaje ili mpotezeane! Mana huyu hasikiiiiii..,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unadharau sana,humu ndani kila siku tubasema achana na single.mom hata awe mzuri vipi, hata awe na tabua gani unue kuna tabia moja mbaya ilimshinda Bwana wake wa kwanza weqe hata uwe malaika hutaiweza sana sana tu uvumilie kukaa naye kwa maumivu.

Umesema ni mbishi anajifanya anajua kila kitu halafu hana kazi yoyote. Dunia ina mambo.
 
Mungu anakuita kwa njia hio mkuu,labda baadae utatafuta mtoto usimpate..lol
 
Ok, nikwamba wee ulianza kumhudumia ili akupe Uchi.

Umepata Uchi sasa unaona kila kitu tayar na kuendelea kumhudumia ni ulofa.


Usitafute sababu ya kuhalalisha hali yako.
 
Mkuu unachofanya unakosea. Wakati mnaanza mapenzi mlikaa na kukubaliana nae na unapoona hamueezani muagane mdogomdogo. Kaeni chini mmalize tofauti zenu kama kuachana basi mtoe conclusion wote. Hicho ufanyacho ni utoto na ulimbukeni kwa kukosa busara. Kuachana si Vita. Na ukute umepata mwingine unasingizia anachat na baba mtoto. Kwani wakati mnaanza ulidhani ni Maria huyo? Baba mtoto kama yu hai lazima awasiliane na mama kwa vyovyote.
 
Mkuu unachofanya unakosea. Wakati mnaanza mapenzi mlikaa na kukubaliana nae na unapoona hamueezani muagane mdogomdogo. Kaeni chini mmalize tofauti zenu kama kuachana basi mtoe conclusion wote. Hicho ufanyacho ni utoto na ulimbukeni kwa kukosa busara. Kuachana si Vita. Na ukute umepata mwingine unasingizia anachat na baba mtoto. Kwani wakati mnaanza ulidhani ni Maria huyo? Baba mtoto kama yu hai lazima awasiliane na mama kwa vyovyote.
Tatizo kaniganda kama kupe,hataki kuniacha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwezi mmoja sasa tangu nimekutana na huyo single mom,mwanzoni nilimwona kama ana adabu,anauvumilivu na heshima nikaamua kujitosa,hana kaz yeyote ya kujiingizia kipato,kidume kilipiga mimba kikasepa! Sasa analea mwenyewe.Kwa kipindi hiki kifupi nimegundua anakiburi,ni mbishi na anajifanya anajua kila kitu.Nilikua namuhudumia kwa kila kitu naye ananipa gegedo.Jicho langu la tatu limeona napoteza muda bora nipige chini na nisonge mbele! Sasa anakuja na gia kua anaujauzito wangu na anataka kutoa,nikimuuliza umepima wapi na lini hataki kusema,nimemwambia kama ipo kwel asitoe ntalea ikithibitika kama ni kwel n dam yangu,mana najua kuna vipimo vya DNA.Anachong'ang'ania ni kwamba tuende hosp.au nikutane nae mahal tuyamalize!! Sasa cjui tuyamalize vipi! Nimemblock lkn bado anatumia sim zengine kunitafuta.Anapiga sim na kutuma msg kama chiz! [emoji3][emoji3][emoji3].Nimejaribu kumdanganya nimerudiana na mke wangu lkn anasema anataka kuja kufanya fujo.Nahis atakua na matatizo ya akil[emoji16][emoji16][emoji16] au ameniona mshua kwa misimbaz nlokua nantupia mara kwa mara.Kiufupi simtaki tena n pasua kichwa.Je? wadau,watu wa dizai hii hua mnafanyaje ili mpotezeane! Mana huyu hasikiiiiii..,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona story yako kama yangu, au ndo haka kademu portable hapa mtaani kana mtoto wa miaka 2na ushee?
Na mimi nilizoeana nako. Nilianza hivi.
Alinisalimia kwa sms "mambo" nikamjibu "poa uko vizuri" akaniambia "najisikia vibaya na sina hela ya kwendea hospitali"
Mi nikamtumia elfu 10 ndo nikawa kama nimelianzisha,
" ukipata mda njoo home basi"
Maana alikuwa ameazima geto kwa jamaa ambaye anasoma chuo, geto lilikuwa halikaliwi na mtu, hivyo akawa anaishi hapo kama kulilinda.
Basi nikawa nimeenda, akanipa mgegedo japo siku enjoy sana, ana viungo sio flexible, kila nikimkunja mapaja nipenye deeper anakuwa ana resist, basi nikajipigia bao nikasepa, nikamuahidi kumhudumia mtoto wake, sasa badala ya kumhudumia mwanae akaona labda ananikoleza na mgegedo wake ambao hauna ladha, matatizo yake yote ni solve mimi, nikamwambia sasa nakusaidia mara ya mwisho. Basi ndo hadi leo hata salamu hamna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi wanawake tuna kitu kimoja ambacho huwa kinatuumizaga sana, wanawake tunaogopa sana kuachwa na hasa kama huku kuachwa kunajirudia. Ninachokiona kwa huyo dada shida yake sio pesa ulizokuwa unampa ila anaogopa maumivu ambayo alishayapata hapo mwanzo ikampelekea akawa single mother! Nashauri kubali mkutane na umueleze taratibu hapo alipo amechanganyikiwa kiakili na sio uchizi kama unavyomuona, moyo wake unaugua hayuko tayari kukukosa kwa namna yoyote ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi aache kumganda mtu ili upate pesa za bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Et Maria [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shenzy kabisaa
Mkuu unachofanya unakosea. Wakati mnaanza mapenzi mlikaa na kukubaliana nae na unapoona hamueezani muagane mdogomdogo. Kaeni chini mmalize tofauti zenu kama kuachana basi mtoe conclusion wote. Hicho ufanyacho ni utoto na ulimbukeni kwa kukosa busara. Kuachana si Vita. Na ukute umepata mwingine unasingizia anachat na baba mtoto. Kwani wakati mnaanza ulidhani ni Maria huyo? Baba mtoto kama yu hai lazima awasiliane na mama kwa vyovyote.

Siyakudumisa Nkosi Yezulu
 
Back
Top Bottom