Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kwanini usiseme tu,sitaoa mwanamke aliyezaa kwa operation? Maana Single mother siku hizi wananyanyasika sana, wanachukulia kama wao ni wa tofauti!

Mi nawapenda kinoma,wanawake zangu wote wana watoto na mimi ndio baba yao!
mbinu nzuri
 
Umenikumbusha movie moja yule dada alikuwa yuko so obsessed na kuolewa tena na mtu mwenye pesa ikampelekea kupata mimba ya mtoto wa boss wake kumbe yule kijana hata hampendi na wazazi wa kijana hawamtaki. Kimbembe wakati wa kujifungua zikatokea complications ikaonekana akijifungua kawaida itakuwa hatari kwa uhai wa mama au mtoto, alichowaambia alisema sipo tayari kuchanwa nitaolewa vipi na mshono? Kama ndio hivyo wacha nife tu na huyo mtoto azaliwe hai au mfu sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitaoa single mother yeyote kasoro aliyezaa kwa kisu/operation/caesarean section.

Hata uwe na sifa zote ninazohitaji zikajaa mpk pomoni na kuanza kumwagika lakini kamwe siwezi kukuoa kama umezaa kwa operation.

Hii ndo huwa kanuni kuu kwa wote waliooa/wanaotarajia kuoa single mothers.

Kwa hiyo ushauri kwa dada ambaye unaona kabisa unaenda kuwa single mother, jitahidi sana sana usukume mtoto mpk atoke. Ukijichanganya ukazaa kwa kisu uwezekano wako wa kuolewa unazidi kupungua labda uolewe na aliyekuzalisha.

Vipi kwa nyie dada zetu ni sababu ipi inaweza kusababisha usiolewe na single father hata kama ana vigezo vyote?

Cc all single mothers and single fathers.
Je uzao wake wa kwanza ukiwa sio wa kisu akaja kwako wa pili kisu utamfukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikienda mbele ya fikria kwa ulipoishia kuandika
Kuna hili
[emoji117]unahisi singo mama alozaa kwa kisu alikua mtoaji wa tigo?

Sasa huu ni Ujinga.

Hata ww unawza Oa mwanamke hajazaa lkn mwisho akaishia kujifungua kwa kisu.

Nkm inshu ni Tigo, basi amin nakuambia sio watoa tigo wote hujifungua kwa kisu.

Mwisho..... Ukiachana na masharit yako ambayo utendaji kazi wake ni sifuri nikiamin kabisa kabisa kwa unavyoonekana HUNA WAZO HATA LAKUJA KUOA MAMA MWENYE MTOTO....ni bora uache naibakie kua " Mama huyu mwenye mtoto, ataolewa na mwanaume atakayempenda".

Tena niwapongeze sana hawa wamama, mnawapa mimba na kuwakimbia, mama wawatu hosp anakuja mwenyewe. Clinic anagombezwa sana ,lkn yoteee anayavumilia na anaendelea kulea mtoto.


Aaahhhh mazeee ,muwapumzisheni. Alafu kuna madada yanajiweza kiuchumi sana. Na hayababaishwi na wanaume kama wewe .


The Devil puts a spoonful of honey into neighbor's Wife
 
Kwanini usiseme tu,sitaoa mwanamke aliyezaa kwa operation? Maana Single mother siku hizi wananyanyasika sana, wanachukulia kama wao ni wa tofauti!

Mi nawapenda kinoma,wanawake zangu wote wana watoto na mimi ndio baba yao!

Unao wangapi mkuu [emoji23]? Hongera kwa kujitolea kuwa baba wa hiyari


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umenikumbusha movie moja yule dada alikuwa yuko so obsessed na kuolewa tena na mtu mwenye pesa ikampelekea kupata mimba ya mtoto wa boss wake kumbe yule kijana hata hampendi na wazazi wa kijana hawamtaki. Kimbembe wakati wa kujifungua zikatokea complications ikaonekana akijifungua kawaida itakuwa hatari kwa uhai wa mama au mtoto, alichowaambia alisema sipo tayari kuchanwa nitaolewa vipi na mshono? Kama ndio hivyo wacha nife tu na huyo mtoto azaliwe hai au mfu sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikaweje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom