Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

😀😀Etii fresh product,
 
Kama hutaki kuwa na mawasiliano nae wala kuonana nae vipi kuhusu Mtoto atakayezaliwa?
 
Siti ya katikati kwenye hichi kikao nkingoja public speakers kuhutubia umati huu wa leo kabisa[emoji575][emoji575][emoji575][emoji575]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchimba kisima hutumbukia mwenyewe
Mchumia Janga hula na wa kwao.
ID yako "spark" imesababisha mlipuko

Pambana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na nyie muangaliege mtu unajua fika kuwa huyu mwanamke sina future nae lakini mnaachia mastyle na mautamu kama yote unafikiri mtu ataacha kung'ang'ania

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa Aisee "..... sometimes lazima ufanye kwa sababu una mchukulia kama mwanamke wa kufanyia rehearsal .... ili ukienda kwenye performance yenyewe sasa dhidi ya mwanamke unaye mpendq usije kutoa Boko/kuuza mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…