Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
wew unatoka shimoni unaenda kaburin aiseeeHabari zenu..
Niende moja kwa moja bila kupoteza muda mwenzenu nimepata mke wa kuoa ila huyu mwanamke ni single mother...ninachokifikilia ninaanza vipi kumtambulisha nyumbani kwetu Kwa wazazi?
Kuhusu baba nitampiga kiswahili ataelewa mziki uko kwa mama yangu nitamueleza vipi ili anielewe kuwa naingia mchezoni na mchezo ukiwa ni moja bila ?
Vipi kuhusu ndugu zangu nitawaelezaje kuwa naanza mechi mchezo ukiwa ni moja bila badala ya bila bila!!!
Je hawatapasha kiporo na mzazi mwenzake akija kumuona mwanae au akimpelekea mwanae amuone?
Kwa wanaotarajia kuingia kwenye mdoa kama hii au mliongia kwenye ndoa za moja bila au mbili bila naombeni mnipe ushauri kijana mwenzenu nichukue na mimi jiko niache kula kwa mama ntilie.
Wewe ni mjinga sana,kama Chadema waliahidi watakuoa basi utulie siku ukiwadia watakuvisha shela...nimekuona tangu muda mrefu sana;watu wanahuzunika kwa habar ya kutekwa Mdude Nyagali lkn wewe unaifurahia sana habar hiyoKama huyo demu ni mfuasi wa chadema piga chini
Nawewe tafuta mtoto kwa mama mwingine nje kabla hujaoa ili muwe 1-1....yani both team mmescore first half
Dah!inakuwa ni msala kweli kweliPale ID ya kike inapomikiliwa na mwanaume alafu mwanaume akajisahau
Dah!inakuwa ni msala kweli kweli
Mishe salama kabisa dada yangu....Mungu anasaidiaNoma sana mzee baba...vipi mishe lakini???
MmmmhMishe salama kabisa dada yangu....Mungu anasaidia
Yani mwenzie kapiga chini yeye anaona kapata dili kweli ganda la mua la jana chungu kaona kivuno ha ha ha hawew unatoka shimoni unaenda kaburin aiseee
bila shaka unabetNawewe tafuta mtoto kwa mama mwingine nje kabla hujaoa ili muwe 1-1....yani both team mmescore first half
bila shaka unabet
Kama huyo demu ni mfuasi wa chadema piga chini