Also I thank God kwa malezi ya upendo mkubwa aliyonipa baba ingawa nlikuwa natamani wangekuwepo wote baba na mama, nikamuomba sana Mungu nipate mume na watoto wangu wazaliwe katika ndoa wawe baba mmoja na mama mmoja... Mungu amenisikia nimeolewa na watoto wangu wana enjoy maisha ya baba na mama... Ingawa mume wangu katengeneza single mother huko alikoenda kikazi, hili bifu wanangu hawalijui
Nimeishusha sana thamani ya ndoa...huyo dada anaishi katika kauli ya hakuna WA peke yako lkn ameachwa peke yake na mtoto (kuna kipindi watoto kama hawa waliitwa wanaharamu)