Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nitaoa single mother yeyote kasoro aliyezaa kwa kisu/operation/caesarean section.

Hata uwe na sifa zote ninazohitaji zikajaa mpk pomoni na kuanza kumwagika lakini kamwe siwezi kukuoa kama umezaa kwa operation.

Hii ndo huwa kanuni kuu kwa wote waliooa/wanaotarajia kuoa single mothers.

Kwa hiyo ushauri kwa dada ambaye unaona kabisa unaenda kuwa single mother, jitahidi sana sana usukume mtoto mpk atoke. Ukijichanganya ukazaa kwa kisu uwezekano wako wa kuolewa unazidi kupungua labda uolewe na aliyekuzalisha.

Vipi kwa nyie dada zetu ni sababu ipi inaweza kusababisha usiolewe na single father hata kama ana vigezo vyote?

Cc all single mothers and single fathers.
Duuuuh! Hii inahusikaje mkuu?

Membe Jr
 
Kuzaa kwa operation mwisho mara 3. So kama single mom alizaa kwa OP. Means atazaa watoto wawili tu.

So ww lama baba upo tayari kuwa na watoto 2????

Siyakukothamela Sonini na nini
Kwani imeandikwa kila uzao atazaa kwa oparesheni?

Membe Jr
 
Huo ndo uzuri wao.

Ila km umejiandaa kupata watoto zaidi ya 3 usahau endapo mtt wa kwanza kajifungua kwa operation.
Siyo kweli,wapo wanaopata surgery mara ya kwanza then kuendelea kawaida and vice versa

Membe Jr
 
Mwanamke akizaa mtoto wa kwanza kwa kisu ana posibility kubwa sana ya kuendelea kula mishono

Na mwanamke anapozidi kuongezeka umri ndipo anapokuwa na posibility kubwa ya kujifungua kawaida maana nyonga zinatanuka.

Ila anavyozidi kuwa mtu mzima, ndio anazid kusogelea kisu

Cheki mara nyingi kwa mabinti wa miaka 22 hadi 28 wanazaa bila kisu
Kwani imeandikwa kila uzao atazaa kwa oparesheni?

Membe Jr

Siyakukothamela Sonini na nini
 
Mbona story yako kama yangu, au ndo haka kademu portable hapa mtaani kana mtoto wa miaka 2na ushee?
Na mimi nilizoeana nako. Nilianza hivi.
Alinisalimia kwa sms "mambo" nikamjibu "poa uko vizuri" akaniambia "najisikia vibaya na sina hela ya kwendea hospitali"
Mi nikamtumia elfu 10 ndo nikawa kama nimelianzisha,
" ukipata mda njoo home basi"
Maana alikuwa ameazima geto kwa jamaa ambaye anasoma chuo, geto lilikuwa halikaliwi na mtu, hivyo akawa anaishi hapo kama kulilinda.
Basi nikawa nimeenda, akanipa mgegedo japo siku enjoy sana, ana viungo sio flexible, kila nikimkunja mapaja nipenye deeper anakuwa ana resist, basi nikajipigia bao nikasepa, nikamuahidi kumhudumia mtoto wake, sasa badala ya kumhudumia mwanae akaona labda ananikoleza na mgegedo wake ambao hauna ladha, matatizo yake yote ni solve mimi, nikamwambia sasa nakusaidia mara ya mwisho. Basi ndo hadi leo hata salamu hamna.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwezekano wa binti yako kupata mimba na akajifungulia nyumbani kwako ni mkubwa.. cycle inazidi kuendelea maisha yako yatakuja kufanana na maisha ya kitukuu chako labda tu itokee azaliwe mtoto wa kiume anaweza akaleta mabadiliko.
Nilisema hakuna bila kutoa maelezo, Lakini cycle hii itaendelea kama binti atataka kuendelea, kumbuka kila mtu anamaisha binafsi bila kujali baba wala mama, mahamuzi unayokichwani
 
Single mother anayejitambua hawezi kukubali kuolewa na kijana ambaye hakuwahi kuoa. Naandika hili nikiwa na sababu tosha;
Kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi wangu ambaye mimi sikujua kama alishazalishwa. Alinipenda sana na hata nyumbani walimpenda sana. Lakini kila nilipogusia suala la kumuoa - alikataa kabisa - sikujua sababu.
SIku ya siku tukiwa beach tunapunga upepo aliamua kunipa ukweli ..
Alisema sio kwamba hataki kuolewa na mimi bali anahofia ndugu sangu (hasa wadada) wakijua kuwa ana mtoto hawatampenda.
[emoji122]
 
Suala la single mothers halipaswi kuangaliwa kwa kejeli hakuna anayependa kuwa single mothers ila hebu iangaliwe sababu iliyompelekea kuwa hivyo kuna wanaobakwa kuna waliopoteza wapenzi wao kwenye ajali kuna magonjwa hatarishi ya kansa Figo ini ambayo yamepoteza maisha mengi ya vijana.
 
Hakuna single parent. Hiyo ni dhana ya kibinafsi ukishaza wewe sio single tena. [emoji57]
 
Ni tatizo ambalo jamii inapaswa kulitizama kwa jicho kali kwani nchi inaweza kutengeneza kizazi cha familia za "mzazi mmoja".

Nawapinga sana, tena kwa nguvu, wanawake wanatotetea "single motherhood" ati kwa kuwa tu wana uwezo wa kulea watoto wao. Hata wanyama nao wanaishi kifamilia.

Wewe "single mother" jifikirie kwanza maisha unayoishi kulinganisha na yale uliyoishi ukiwa kwa baba na mama. Pia fikiria haki ya mwanao kuwa na mtu ambaye anamwita "baba". Ubinafsi usiharibu kizazi cha kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mashetani huwa hayaelewi hata ukizungumza hayo maeno hayawaingii wao wanajionea sawa tu. Kama yalitoa ujauzito na kuuwa kiumbe cha tumboni kisicho na hatia unadhani yatashindwaje kuharibu jamii kwa kutuletea kizazi cha watoto wasiokuwa na malezi ya baba na mama katika familia.

Kimsingi shetani kila anapotaka kuuteketeza ulimwengu huwa anamtumia mwanamke asie na hekima.......


Ndio maana sasa hivi shetani anafanikiwa kila uchao sababu jamii imejaa jinsia ya kike iliyokosa hekima imejawa na ujinga na upotofu wa akili.

Tafuta popcorn tutazame tu jinsi haya mashetani yanavyoharibu jamii taratibu.....
 
Back
Top Bottom