Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii


Ni kweli kabisa hayo matukio yapo na mengi sana,pia wengine huwalala watoto waliowazaa kabisa,ni kutokuwa na upendo na ukatili wa hali ya juu,wanaumr wengi ni wabakaji na wanahalalisha wanaona sawa,wakati mtu anaekula mama na mtoto anastahili hata kuuawa maana ni ushenzi wa hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…