MWANA ileje
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 744
- 572
ππππukiona mtu anakimbilia matusi ujue Hawez tena kushindana kwa hoja in short ni kwamba umeshindwa kabisaaa so endelea kuwanyonyesha watoto uliozalishwa na wanaume wa 5 tofaut tuache tunaojielewa tuenjoy na wanawake fresh pure wasio kuwa ma used like misingle mothershongera sana
naona ulionja hadi ukajua sio tango kama matango mengine
hatar sana kwahiyo mama yako nikama tango limevunwa leo eee?
nilikuambia ukikua utajua unalazimisha upuuzi
umeona sasa unaropoka siri zako na mama yako?
yaani hadi umejua aina ya tango lake?
heshima kwako dooooooh! Umetisha sana
lakini sio wote wanaachwa na waume zao kwa tabia zao, wapo wanaozalishwa na kuachwa wangali bado hawajaolewa though spingani na wewe. Yes, it's still a probabilityNi rahisi sana hii. Kwa wastani tabia za wanaume zinafanana.
We jiulize hivi "Je utaweza kumweka ndani mwanamke aliyeshindwa na mwanaume mwenzako?"
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukimpata yule ambaye jamaa aliyezaa naye ameshakufa kwakweli utaenjoy sana maisha.
sababu ya kauli yako hapo juu umeonyesha wazi unauhakika mzazi wako yukoje, sijakutukana kwahiyo niwewe uliyetuambia na unauhakika naloMzaz Wangu sio single mother aliolewa na father Wangu kwa heshma zote na taratb zote za kidin na Allah ndo shahd mkuu.....so Mzaz Wangu sio tango kama hayo matango yanayojiachia achia nakujdai yanataka 50/50
ππππukiona mtu anakimbilia matusi ujue Hawez tena kushindana kwa hoja in short ni kwamba umeshindwa kabisaaa so endelea kuwanyonyesha watoto uliozalishwa na wanaume wa 5 tofaut tuache tunaojielewa tuenjoy na wanawake fresh pure wasio kuwa ma used like misingle mothers
πππππona sasa unavyoikana jinsia yako. We si unadai unajskia aman na fur aha kulea watt bila baba yao au sababu ushaifuta post yako.....yaan unatetea jambo ambalo hata ww muhusika mkuu hauko comfortable nalo πππ Allah atunusuru kwakweli au ulizalishwa na babu kizee baada yakuona pesa zake za mafao ni tamusababu ya kauli yako hapo juu umeonyesha wazi unauhakika mzazi wako yukoje, sijakutukana kwahiyo niwewe uliyetuambia na unauhakika nalo
sasa kama umeweza kuongea hivyo sisi tunajiuliza umejuaje?
pia mimi ni mwanaume sio mwanamke sawa?
Kama wewe ni kijana hujawahi kuoa ujue kuoa single mother ni kuwadhalilisha wazazi.Katika maisha yangu I wish nioe mwanamke single mother, kwa sababu akilini mwangu naamini most single mothers wanajua the real taste of life, sio hawa slay Queens wapiga make-ups na mizinga. That's what i think in my mind, Is it not a VIRUS? Advice please!
πππππona sasa unavyoikana jinsia yako. We si unadai unajskia aman na fur aha kulea watt bila baba yao au sababu ushaifuta post yako.....yaan unatetea jambo ambalo hata ww muhusika mkuu hauko comfortable nalo πππ Allah atunusuru kwakweli au ulizalishwa na babu kizee baada yakuona pesa zake za mafao ni tamu
Single mother ndio wanaolewa sana katika karne hizi kuliko hao mnaowaona ndio wako royal
nimeshuhudia ndoa kama tatu nne hivi na still wamedumu na wanapendana sana
pia single mother sio kwamba walikuwa wanasoko then wakakosa soko umewapa tafasiri ya tofauti kabisaaa
nadhani ndio maana umekuwa na fikra kama hizo
but all in all ulilosema lipo ila ni kwa wale tunasema vicheche kama ulivyosema pia ni asilimia ndogo sana kwa ulilosema
pia say sorry to single mother hawapo namna hiyo unavyowapa tafasiri hiyo
nilipata mwanamke wa kwanza alijitegesha mimba nimuoe but msimamo ulikuwa nikwamba mimba sio kigezo aliolewa ana mtoto wa pili now
Nilipata mtoto wa kirangi huyu aliolewa na mimba yangu kabisaaa na mtu mwingin
but watoto niliwachukua so mimi pia ni sigle father ila uewanukuu vibaya sana kuna factors nyingi sana zinasababisha kuwa single mothers kama mbili hizo hapo juu
Kikubwa ishi na hawa viumbe kwa akili kubwa sana.Katika maisha yangu I wish nioe mwanamke single mother, kwa sababu akilini mwangu naamini most single mothers wanajua the real taste of life, sio hawa slay Queens wapiga make-ups na mizinga. That's what i think in my mind, Is it not a VIRUS? Advice please!
ni wazo zuri ila fikiria hii ni mida ya saa nnne asubuhi mnakunywa chai baba wa mtoto wa anapiga simu anasema ''nataka nimuone mwanagu kuna vitu nimemletea siwezi kuja hapo kwako maana umeolewa;; na mkeo anasema baba fulani kasema nimplekee mwanae ampe zawadi zake...trust me kitu ambaco kitakukosesha amani kwa miaka mingi mimi pia nilikua katka mahusiano na single mother ila nakumpenda kote huko ila hapo ilibidi nijivue na kuacha mapenzi yote maana nilishndwa kuvumilia,,,afu ukute jamaa msumbufu mara apige saa tano usiku na huwezi mzuia kuongea na msela atasema kwa ajili ya mtotoKatika maisha yangu I wish nioe mwanamke single mother, kwa sababu akilini mwangu naamini most single mothers wanajua the real taste of life, sio hawa slay Queens wapiga make-ups na mizinga. That's what i think in my mind, Is it not a VIRUS? Advice please!
π€π€π€Wenzako wana ndoto za kuoa mabikira wewe una ndoto za kuoa single mother.
Ila usije kuwa mkali,mwenye mtoto/watoto akiwa anapiga Simu kuulizia au kuomba kupelekewa mtoto/watoto ili awaone........mkali na nyumbani kwako na mkeo kulala huko hukoKatika maisha yangu I wish nioe mwanamke single mother, kwa sababu akilini mwangu naamini most single mothers wanajua the real taste of life, sio hawa slay Queens wapiga make-ups na mizinga. That's what i think in my mind, Is it not a VIRUS? Advice please!
πππππWenzako wana ndoto za kuoa mabikira wewe una ndoto za kuoa single mother.
[emoji848][emoji848][emoji848] hebu nieleweshe vizuri kuhusu hili,Kama wewe ni kijana hujawahi kuoa ujue kuoa single mother ni kuwadhalilisha wazazi.
Tena kama wewe ni wa kwanza kuzaliwa ni mkosi hata kwa uzao wako.Hao single mother tuachieni sisi wazazi wenu wawe mama zenu wadogo sisi hatuna cha kupoteza.
Ni kosa kijana mbichi kuoa single mother kama nawe umeachana huko sawa kuna unafuu.
[emoji848]ni wazo zuri ila fikiria hii ni mida ya saa nnne asubuhi mnakunywa chai baba wa mtoto wa anapiga simu anasema ''nataka nimuone mwanagu kuna vitu nimemletea siwezi kuja hapo kwako maana umeolewa;; na mkeo anasema baba fulani kasema nimplekee mwanae ampe zawadi zake...trust me kitu ambaco kitakukosesha amani kwa miaka mingi mimi pia nilikua katka mahusiano na single mother ila nakumpenda kote huko ila hapo ilibidi nijivue na kuacha mapenzi yote maana nilishndwa kuvumilia,,,afu ukute jamaa msumbufu mara apige saa tano usiku na huwezi mzuia kuongea na msela atasema kwa ajili ya mtoto
lakin mnaweza kuanza 0-0 ukafungwa goli la mkono mkuu!Utakuja kulia humu ndani hivi mkuu wenzako mechi inaanza 0-0 wewe unaanza 1-0
Unaenda nunua kiwanja chenye migogoro