Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sijalelewa na single Mother mimi, mama angu yupo kwenye Ndoa ata kabla sijazaliwa mkuu,

Mnavyowatia moyo ndivyo mnawapa nafasi hao walio nyuma kuwa Single Mother
 
Aliefiwa na mumewe, aliebakwa, automatically hawahusiki hapa. Lakini wale waliozaa nje ya ndoa kwa kiherehere chao tu, hii inawahusu. Na religiously mwanaume halazimishwi kumtunza mtoto wa aina hio bali anatakiwa atunzwe na mamaake.
 
Mbona inajulikana wazi SINGLE MOTHERS NI WALE WALIOPATA MIMBA KWA UZEMBE...alafu wakaachana...
 
Mzee baba, story za mingegedona kugegedani zinakutambulisha zaid Zero IQ
 
Anaetoa Mimba nitakuwa sijui kama ametoa hiyo kwangu afadhari kwa sababu ni siri yake mkuu, mimi kwangu itakuwa nimeoa mke fresh
Eti umeoa mke fresh unajua matatizo anayoweza kupata mwanamke anaye toa mimba Kuna kutoka kwa mimba pindi atakapo hitaji mtoto,kukosa mtoto kabisa hapo kwako ni bora inashangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…