Hata aliyezaa anaweza patwa na hayo pia.Eti umeoa mke fresh unajua matatizo anayoweza kupata mwanamke anaye toa mimba Kuna kutoka kwa mimba pindi atakapo hitaji mtoto,kukosa mtoto kabisa hapo kwako ni bora inashangaza.
kuna mmoja kajibebesha kitambi huku akijua mi ni mme wa mtu...ili niweze kumpa haki sawa na mrs,wakati hicho kitu kwangu hakiwezekani
Majukumu haina shida mkuu,changamoto ni muda mwingi anataka tuwe pamojaKajibebesha? Kwani wakati unamkojolea hukujua kwamba unapanda mbegu na kwamba lolote linaweza kutokea mbegu inaweza ikaota au isiote? Utamu mnataka ila majukumu hamtaki siyo?
Ndiyo hata hilo pia ni moja ya majukumu kama mnadhani hamuwezi kutumia muda wenu mwingi na michepuko basi acheni kuchepuka tulieni na wake zenuMajukumu haina shida mkuu,changamoto ni muda mwingi anataka tuwe pamoja
Mungu hawezi kuwa upande wa mzinziNiwasihi na kuwatia moyo Masingle mothers wote wanaopita humu Jf na kusoma hizi nyuzi kuwa wasikatushwe tamaa, wasimame imara wapambane na Mungu yupo upande wao.
Hawa wanaongea maneno ya shombo hata wao walilelewa/wanalelewa na single mothers
Kuwa single mother sio dhambi
hatarw sana alioa kafungwa mbili bila?Upo sahihi mkuu,pale mbezi beach kuna mzee mwakajuzi alifariki baada ya mkewe kumwambia tugawane watoto na mali tulizochuma,mzee alioa wakati Ajuza ameshafungwa goli 2
usikute hata wewe ni single motherhao ni wakupiga mashine tu,hawafai kuoa....
Single mother wangu nakupenda sana achana na haya ya mitanda
amekufunga goli ngapi huyo single maza wako huenda mkawa mpo moja mojaSingle mother wangu nakupenda sana achana na haya ya mitandaoni.
Duuuh ..... Mfano Jaquiline Ntuyabaliwe Klyn sio mjane eti.....Acha kujifanya unajua kumbe hujui WIDOW ni yule aliefikisha miaka 60 chini ya hapo ni masingle mothers
Kumbe mjane in MSTAAFU WA KIKE ETI.... duuuuu...... Dictionary yako no ya dunia hiii itakuwa ya JupiterAcha kujifanya unajua kumbe hujui WIDOW ni yule aliefikisha miaka 60 chini ya hapo ni masingle mothers
Hawezi kuwa upande wa mzinzi single mother tu ila yuko upande wa single father siyo? Halafu mbona watoto wao wengi wanabarikiwa na wanafanikiwa?Mungu hawezi kuwa upande wa mzinzi
Kwa niaba ni Zero IQ hataki habar za kuoa singo maza.
Tunaomba kuheshim mawazo yake.
Jibu lako hilo hapoNa wewe unawaponda single mothers kama nani? Je ukiwasifia kuna kitu chochote unawaongezea na ukiwaponda kuna kitu chochote unawapunguzia? Au wewe ukisema hauwaoi unadhani unakuwa umewakomoa? Kwani wao wamesema wanataka kuolewa na wewe?
Una mchango gani kwenye maisha ya single mothers hapa duniani? Una mamlaka gani hapa duniani kiasi kwamba lolote unalosema wewe linaweza likaitetemesha dunia na likawa ndo uhalisia? Hayo maswali usinijibu mimi jiulize na ujijibu mwenyewe halafu ukishajijibu endelea kuwaponda single mothers! Nimemaliza!
Mada za kutafutia Kiki na umaarufu kunuka jf
Wanawake stuken,potezeen this trash
Unakuta kajitu kanaishi kwenye ka chumba ka stoo huko tandale akipata buku anakimbilia kuanzisha thread upupu jf ili awe maarufu
Hahahahah lmao
Nabaki njia kuu..Ndiyo hata hilo pia ni moja ya majukumu kama mnadhani hamuwezi kutumia muda wenu mwingi na michepuko basi acheni kuchepuka tulieni na wake zenu
Nabaki njia kuu..