KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kuto kuilewa mada nako ni tatizo.Single mom ni tayari mali ya baba wa mtoto.Wewe kumuoa ni sawa na kumsaidia tu majukumu baba wa mtoto.Yaani wewe ni sawa na Hawa tu msaidizi wa Adam[emoji467]Unazungumzia single mothers wa aina gani? Sio kila single mother alipenda kuwa hivyo, kuna wengine ni single lakini wapo vizur kuliko hao unaotaka tuamini wako vizur.
Unamzungumzia vip single mother aliyetelekezwa na mtu mjinga bila kosa lolote, sasa huyo kwanini hastahili kuolewa?
mzee mama vipi unamiliki kiumbe bila dingilai nini? Ebu tushow venye una status ipi?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we utamu vipi huutaki pia? Mwanamke kubeba mimba isiotarajiwa ni uzembe wa hali ya juu! Kula hata majivu basi...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya ndio madhara ya we nipe mimba ntalea mwenyewe. Mnafikiriaga kulea ni simple simple eeh
Hapo unamiliki tu hakuna mjadalaMwenye kiwanja kama alifariki hapo vip?
Kwahiyo wew ndo mnara wa single mother sioHapo unamiliki tu hakuna mjadala
Wewe migogoro ndo tunaitaka sisi, halafu tunaitatua vizuri then tunaleta amani, hii ni nifursa. ya umaarufu. Wote hawa Baba mtelekeza na mama tayari umewasaidia, hawatakusahau! kwanza naanza kulia na mleta mgogoro, na kumtia adabu ili akome kuzalisha hovyo kwa kusoma ramani nitamkomesha. weee mzee vipi unaogopaa migogoro? usipotatua hapa wanawake kutundikwa mimba hakutakoma, anza na huyu, singo maza wako,We wako umefikia wapi mkuu
Kwa sababu maisha yao ni jukumu lao wenyewe
HaswaaaHivi hadi kudanga nako ni upambanaji?
Haswaaa
Sababu wanakua na Uhuru.ndoa au mahusiano sometime yanakuwa na limits.pili mwanaume ndo umsikilize zaidi atakayosema kuliko maamuzi yako
Wewe unaishi dar umepata mwanaume anaishi arusha,umeona fursa ya kukuingizia pesa dar,lakini hutoiweza kuifanikisha sababu utaolewa na kwenda arusha.so unaamua kuiacha ikupite sababu ya ndoa.
Lakini single lady mwenye maamuzi take anakuwa tayari kujiamulia lolote na popote.ni lazima afanikiwe
Ukiwa na maana single mother na single ladies ni wadangaji?Oohh kama ni hivyo basi alichosema mtoa mada ni sahihi
Hahaaa. Inawezekana maana singo nanilii wako poaHivi hadi kudanga nako ni upambanaji?