amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Hapo katika kutaka aolewe yeye "ONGEZA VOLUME KIRANGA WANGU"
Sasa kama ndoa ni makubaliano, hii rubbish ya kuwatusi single mothers kama si watu ina logic gani?
Mtu akiamua kumuoa single mother wa tabia yoyote kwa makubaliano yao usiyoyajua, wewe unapungukiwa nini?
Unataka kuolewa wewe?