Sasa kama ndoa ni makubaliano, hii rubbish ya kuwatusi single mothers kama si watu ina logic gani?
Mtu akiamua kumuoa single mother wa tabia yoyote kwa makubaliano yao usiyoyajua, wewe unapungukiwa nini?
Unataka kuolewa wewe?
Ni kweli kabisa mi nimezalisha watatu na nshaachana nao
Na siku yoyote nkiamua natafuna yeyote
I'm more exposed and polished than you could ever imagine..!!Then you need more exposure kiddo!!
Ukitaka kuoa single mother akikisha baba mtoto amekufa na kaburi lake umeliona
An immense burden of evils these serial killers of innocent babies carry in their souls outweigh my evil deeds by million times. We probably won't incur the the same castigation in heaven!
Legendary
Coz that's how you are, is it too sourish to chew?I don't buy that
Unatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuaminisha watu kuwa wanawake ndiyo chanzo cha matatizo yote kwenye jamii na wanaume hamna makosa kabisa
Preach...Killing, Abortion, Adultery and Fornication are all sins that can take someone to hell or that can be forgiven if repented
Hakuna jinsia inayoruhusiwa kufanya uzinzi wala uasherati hivyo imewapasa wote wanaume na wanawake kuingia kwenye ndoa wakiwa hawajawahi kufanya ngono na hapa siyo swala la kusema eti utamjuaje mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi bali ni swala la kila mtu kujitunza mwenyewe maana siku hizi hata bikira za wanawake nazo zinarudishwa sasa sijui utamjuaje mwanamke ambaye bikira yake imerudishwa
Mbona mnamsimanga Diamond?
Kwahiyo Lizarazu single mother mmoja akiwa chakaramu na akasema kuwa single mothers wote ni chakaramu basi unadhani na single mothers wengine wote wako hivyo kweli??Pamoja na kwamba wabongo hawapendi tuwaongelee hawa watu kwa sababu zao ambazo hazina kichwa wala miguu, lakini kamwe hatuwezi kuacha kuwaongelea maana ni sehemu ya jamii yetu.
"At your own risk" mkuu nina dada zangu ambao ni masingle maza lakini wao wenyewe kwa midomo yao wamewahi kunitamkia kuwa siku nikiamua kuoa single mother basi nijipange na nijiandae kwa mengi. Imagine mtu ambaye yeye mwenyewe ni single mother na ana ndoto za kuja kuolewa siku moja anakutamkia maneno hayo!!! [emoji848][emoji848] Hakika kauli kama hiyo ina maana nzito sana maana inatoka kwa mlengwa moja moja na wanajifahamu kabisa wao wakoje.
Mama zetu wenyewe tukiwapelekea wachumba nyumbani tukishawaambia tu kwamba mchumba huyu tayari ni mzazi, ghafla utamuona mama anaishiwa pozi na kuwaza vitu vingi sana.. Sababu yeye kama mwanamke anafahamu vizuri sana kiza kinene unachotaka kuingia.
Sasa kuna wazamburi huwa wanajifanya wao wanaakili sana wanatembea na logic kila mahali.. Ndio hawa pro-single mothers!! Ngoja nisiwaseme kwa lolote.
I'm more exposed and polished than you could ever imagine..!!
Coz that's how you are, is it too sourish to chew?
Single mothers siyo tatizo la upande mmoja bali jamii nzima inahusika kwa sababu hao hawazalishwi na upepo bali wenzao!!
Preach...
Nimekuelewa sana baharia...Narudia kusema,washikaji tusioe!
Shukrani Mkuu ila najua Lizarazu akiona hii comment atatamani kukupiga