Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hapo mwisho umeua kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulea bao la mtu mwingine inabidi uwe na roho ya chuma haswa pale inapofika j2 unamuona mtoto kapendeza unaambiwa anakuja kuchukuliwa na baba yake.


Kama huna moyo mgumu achana na wamama mdogo wangu
Duuu!!! Ila kweli
 
Wanawake wamejaaa kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
oa ambaye hajazaa lakini hakikisha haumsababishii kuwa single mother
 
nashukuru brother lakin unadhani kwanini kuna wimbi kubwa la single mother
Mkuu siku hiz waojaj hawapo, ni kupga kaz kwenda mbele,muhimu aonekane naye ana Mtoto bas maisha yanasonga,maana majukumu wengi wao wanayakimbia pia na ujuaji wa Wanawake umezid,wanakuja kushtuka waishazalishwa,hivyo wanakosa soko,hivyo kujikuta soko la kuolewa linazid kudodora,hivyo kuwalazim kila mmoja kupambana na hali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma single mama wengi wanajitambua aisee n wanawish wapte mtu sahh ikitokea wamempata na wakaelwana maisha yao huwa mazuri sana

sending using jamiiforum makinikia
 
Ni aibu kubwa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatiz linakuja pale mzaz wa upande mmja kuwa bad ana chembe za filling Aisee utajuta . pia ukioa single maza toa wivu

sending using jamiiforum makinikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…