Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ukioa Single mother kuna wakati atahitaji umpe nafasi ya kukutana na mzazi mwenzie(mume mwenzio) atakwambia agenda ni kujadili maswala yanayohusu maendeleo ya huyo mtoto uliyemkuta naye.so usije ukaanza kujaa upepo.maamuzi sahihi ni sasa.

Halafu pia kuna wakati utakuwa unalinganishwa na mume mwenzio kwa baadhi ya mambo kwa mfano ...."naona nawewe umeanza kuniboa kama kama ya baba Zulfa".
Hapo mwisho umeua kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulea bao la mtu mwingine inabidi uwe na roho ya chuma haswa pale inapofika j2 unamuona mtoto kapendeza unaambiwa anakuja kuchukuliwa na baba yake.


Kama huna moyo mgumu achana na wamama mdogo wangu
Duuu!!! Ila kweli
 
Habari wakuu,

Umri wangu ni miaka 27 na bado sijaoa wala sijafikiria kuoa nataka nianze kutafuta mwenza nikifika 30years, lakini hapa kilichonishtua ni wimbi kubwa la kina single mothers wadada kwa wamama wengi sana mitaani wana watoto na hawakai na wazazi wenza, asilimia 75 niliokutana nao hadi sasa ni single mothers, unakuta binti mrembo kafungasha rangi nzuri sura nzuri kidini mnaendana lakini kazalishwa na hana mume.

Mbaya zaidi hata ex wangu aliyenipaga kibuti alivyofika chuo kikuu sahivi na yeye ni single mother, yaani nimechanganyikiwa sijui pa kushika yaani naogopa sana kuoa single mother nahisi sitakuwa huru.

Mnishauri jamani namna ya kuishi na single mother ikitokea nimeangukia huko.
Wanawake wamejaaa kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Umri wangu ni miaka 27 na bado sijaoa wala sijafikiria kuoa nataka nianze kutafuta mwenza nikifika 30years, lakini hapa kilichonishtua ni wimbi kubwa la kina single mothers wadada kwa wamama wengi sana mitaani wana watoto na hawakai na wazazi wenza, asilimia 75 niliokutana nao hadi sasa ni single mothers, unakuta binti mrembo kafungasha rangi nzuri sura nzuri kidini mnaendana lakini kazalishwa na hana mume.

Mbaya zaidi hata ex wangu aliyenipaga kibuti alivyofika chuo kikuu sahivi na yeye ni single mother, yaani nimechanganyikiwa sijui pa kushika yaani naogopa sana kuoa single mother nahisi sitakuwa huru.

Mnishauri jamani namna ya kuishi na single mother ikitokea nimeangukia huko.
oa ambaye hajazaa lakini hakikisha haumsababishii kuwa single mother
 
nashukuru brother lakin unadhani kwanini kuna wimbi kubwa la single mother
Mkuu siku hiz waojaj hawapo, ni kupga kaz kwenda mbele,muhimu aonekane naye ana Mtoto bas maisha yanasonga,maana majukumu wengi wao wanayakimbia pia na ujuaji wa Wanawake umezid,wanakuja kushtuka waishazalishwa,hivyo wanakosa soko,hivyo kujikuta soko la kuolewa linazid kudodora,hivyo kuwalazim kila mmoja kupambana na hali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma single mama wengi wanajitambua aisee n wanawish wapte mtu sahh ikitokea wamempata na wakaelwana maisha yao huwa mazuri sana

sending using jamiiforum makinikia
 
Wanawake wa humu watakushauri kuvutia kwao lakini mtaani hawa hawa Ndio dada zetu. Ukioa single parent watakusema mpaka uchanganyikiwe hata Kama wao wamezalia watoto home.

Yote Kwa yote, kwangu ni bora kulea mtoto wa dada yangu Kuliko wa mwanaume mwenzangu.
Hata watoto wa Kaka yangu huwa siamini kama ni ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu kubwa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatiz linakuja pale mzaz wa upande mmja kuwa bad ana chembe za filling Aisee utajuta . pia ukioa single maza toa wivu

sending using jamiiforum makinikia
 
Back
Top Bottom