Mdogo wangu acha kuwaza mawazo hasi wakati wote.
Akili yako ukishaijaza woga Basi hutakaa uone mazuri ya single mama.
Wote tuko sawa jamani mtupumzishe[emoji23][emoji23]
Wewe na Kiranga huwa mnayumba kwenye maswala ya imani ila kwenye maswala ya mahusiano huwa mnajielewa sana (no offense though)Vijana wanatuaibisha sana,mtu kuwa mwanaume ni zaidi ya muonekano bali unatakiwa upambane kuondoa matatizo na usiwe sehemu ya tatizo.
Tena wewe hutoamini unavyooa single mama[emoji23][emoji23]Ndio maana nasema nyie wanawake wenyewe ni wanafiki. Kuna mambo huwa mnapenda kuona yakitokea kwa watu wenu wa pembeni tu lakini sio kwenye familia zenu, sababu mnajua uzito wa athari zake ukoje kwa mlengwa.
Kwenye suala la kuoa single mother kwangu ni option ya mbali sana.
Pole sana kwa kuwa na mawazo hayo hapo kwenye red fonts.
Kama una IG acc nenda kwenye hii mada ukajione michango ya single mothers kisha urudi hapa. View attachment 1203489
Dhambi hakuna kubwa Wala ndogo.
Hukumu yake Ni ile ile...
Kusengenya,kudanganya ,kutamani,kuua zote Ni dhambi...hakuna kubwa Wala ndogo.
Kinachowafanya watu waone Kama Kuna dhambi kubwa na ndogo Ni madhara ya dhambi.
Kuna dhambi unaweza kufanya ikaleta madhara makubwa katika ulimwengu wa mwili..hata Roho pia...
Mfano. Ukiua,,,utaozea jela
Uzinzi.. matokeo yake mengine Ni Kama haya yanayozungumziwa na mtoa mada .
Ila zote zipo sawa na zinasameheka Kama Mtu ataamua kutubu.
Mbona suala la wajane nimeema mwishoni? Soma utaliona. Pia maonyo hayatolewi kwa kupima mazuri bali tunaangalia faida vs hasara, kinaachozidi kinaleta maonyo.Nadhani umeeleza kwa upande wa mabaya hebu eleza na mazuri yao. Pili kuwa single mother sio matokeo ya uzinzi anaweza mme akafariki na kumwacha katika usingle huo.
Unapoeleza haya jaribu kutafakari hisia na maumivu wanayo pitia.
Kwa jicho la tatu wewe umeoa single mother na yamekukuta ndio maana unatusadikisha kuwa wote wapo hivyo.
hivyo eeh?ndo maana nakupenda mkuu
Umeona eenh?? Na wanaume ndiyo wanaongoza kwa kuukataa ukweli wanataka wanawake ndiyo tukubali kuwa sisi ndiyo chanzo cha matatizo yote kwenye jamii ila wao hawana hatia kabisa!!Hawa vijana wana matatizo yao na nyinyi pia mna matatizo yenu na sisi pia tuna matatizo yetu,ila tatizo kubwa linakuja pale watu wanapokataa Ukweli wa wazi kabisa.
Mkuu, mbona tunao ndugu, jamaa na marafiko wanaotuzunguka? Nawashangaa wanaonikasirikia utadhani mimi nimetoka EDENI kuumbwa, yaani sina ndugu wa kike. Nachofanya ni kuongea mambo magumu ambayo jamii inayakwepa kwa kutafuta visingizio.mkuu una uzoefu nao nini??
Muite. Ila sasa uzuri ile mada inataka uwe mjuzi wa lugha na maandiko,ukiwa mjuzi wa lugha tu lazima utachemka.
Maneno kama haya utayaandika hapa kutafuta likes tu za masingo maza, lakini ndani ya moyo wako unajua Baharia Nyenyere alioumimina hapa ni UKWELI MTUPU.
Ipo tofauti kubwa sana ya MWANAMKE MJANE na mwanamke aliyezalishwa akaachwa kwa sababu zingine. Sio kila kitu kinafaa kurithi na kama mwanaume jichunge sana usifanye maamuzi kwa emotions.
Sio kusudio la mada hii. Muhimu tunzeni hadhi yenu. Tangu zamani ilikuwa hivi, ila ninyi dotcom ndio mnaleta ujuvi ambao baadaye unawaumiza ninyi wenyewe.Unatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuaminisha watu kuwa wanawake ndiyo chanzo cha matatizo yote kwenye jamii na wanaume hamna makosa kabisa
Kumuongelea single mom afu umemuacha baby daddy sio sawa. Kama single mom hafai kwa sababu atapasha kiporo na baby daddy wake; je huyo baby daddy anafaa kuwa mume ilhali hana msimamo? Au single fathers wao ni ruksa tu kupasha kiporo? Tena unakuta single father mmoja ana more than two baby mommas; je huyo ndo anafaa zaidi kuwa mume?
Kwahiyo wewe unayewazalisha hao wanawake siyo mjinga ila wao ndiyo wajinga si eti??Huyo zurri ni mwanaume mimi ni mwanamume nina tofauti naye ayseee.
.
Kwetu tulizaliwa wachache nifanyeje sasa unategemea na uwezo wa kutagisha ninao?
Na experience ndio kila kitu, sasa niambie ninyi wanawake wa kileo, what have you to offer from experience? Uzoefu unaonyesha ndoa nyingi zinakufa hovyo kwa sababu ya mila za kisasa za kuigiza, wala sio za kuiga.Wewe unayoyaongea ni inversely proportional na yaliyoko kwenye jamii people learn from experiences not stories
Umeshaishiwa hoja na nilijua tu hauwezi kupangua hoja za huyu jamaa kwa sababu wewe bado ni mvulana ukikuwa mwanaume ndiyo utaelewa haya mambo kwa sasa endelea kuota mzuzu kwanzaShit nenda kabishane na wenzio huko
jibu langu ni ndio, una lingine? hao ni wao na wewe hivyo usiniweke kwenye kapu sawa na nyie Sasa kama ni hivi acha ku reply comments za muongo
Hujazuiliwa kufungua nyuzi za kuwaongelea hao akina baba. Hapo tunajibu kulingana na mantiki iliyopo kwenye mada. Kwanini niende out of context?
Wewe Lizarazu unaona mabaya tu.And that's your visual perception about me.. Right?!!
😍eeh tena sana tuhivyo eeh?