Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ni wapi palipoandikwa kuwa mwanaume anatumia mwanamke anatumiwa tuanzie hapo kwanza unajua haya mambo msilazimishe yawe katika mitazamo yenu binafsi maana kila mtu ana mtazamo wake twende kiuhalisia na ikiwezekana kimaandiko zaidi ukikwepa hapa basi hayo unayoyaongea yanabaki kuwa mtazamo wako wewe binafsi ambao hauna effect yoyote kwenye hii dunia
Hana jina la namna hiyo. Mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi haitwi Bikra na hawezi itwa hivyo.

Bikra ni mwanamke asiyewahi kukutana kimwili na Mwanaume. Hiyo ndio maana ya msingi(connotative meaning).

Maana zilizoibuka kutoka kwenye maana ya msingi ni kuwa bikra ni kitu chochote ambacho hakijawahi kutumiwa.

Hii ni kusema mtumiaji hawezi kuwa bikra ila mtumiwaji anaweza kuwa bikra. mfano. Ardhi isiyotukiwa huitwa Virgin land. Yaani ardhi ambayo haijatumiwa. Ardhi haiewezi mtumia mwanadamu. Ila mwanadamu ndiye anaitumia ardhi

Mwanaume kamwe hawezikuwa bikra kwa kuwa yeye ndiye mtumiaji. Mwanamke ni bikra kwa sababu yeye ndiye anatumiwa.

Ndio maana mwanamke akitolewa bikra bila kuolewa tunasema Ameharibiwa. Popote pale duniani. Na adhabu zake zipo na zinafahamika.

Sasa wewe kwa upuuzi wako unaona mwanaume naye anabikra. Huo kama sio wendawazimi ni nini?
 
Sasa kama ndoa ni makubaliano, hii rubbish ya kuwatusi single mothers kama si watu ina logic gani?

Mtu akiamua kumuoa single mother wa tabia yoyote kwa makubaliano yao usiyoyajua, wewe unapungukiwa nini?

Unataka kuolewa wewe?
Upeo unaeleza kil kitu. Pole sana
 
Mama zetu wenyewe ukiwapalekea mkamwana ambaye tayari ni mzazi kutoka kwa mwanaume mwingine wanaghafika, hawataki kuskia kabisa. Halafu sasa hapo hapo yeye mwenyewe ana mabinti zake ambo tayari ni masingle maza na anatamani kuona siku moja na wao wakiolewa.

Hii inakumbusha kuna mahali niliwahi kusoma feminist anamuhasa mtoto wake wa kiume asiingie kwenye mahusiano na mwanamke ambaye ni feminist.

Kuna mambo huwa sisi wanaume tukiyafanya hata wanawake wenyewe wanatuonea huruma na kama anakupenda anajitahidi kukuepusha..

Nakuambia hata hapa JF hawa wote wanaojifanya ni pro-single mothers nje ya hapa hawamaanishi wanachokiandika.
Hao hao mama zenu mbona mnawapelekea watoto.
Na wanataka mkioa muwachukue watoto muishi nao.
Hawawaonei huruma wanawake wanaoenda kuwalea.

Lizarazu wewe oa mtu sahihi,,unayempenda na anayefaa bila kujali Ni single mama au sio.
 
Hata mbugani kuna simba na Fisi.
Ndivyo maisha yalivyo.

Wapo walioumbwa kula Vitu vilivyooza na wapo walioumbwa kula vitu visafi.

Yote ni ile dunia iwe balanced.

Kwa hiyo hata kama wewe Huna bikra Mungu hakakusahau ameweka Fisi na nzi kwa ajili yako.

Nadhani jibu umelipata hapo. Kama hujaelewa sasa nitajua hata akili yako imeghushiwa na Imetolewa bikra.
Ni wazi haujui hata unaloongea akili yenye bikira na akili isiyo na bikira ndo zikoje unaweza kuzitofautisha?? Maana naona umeng'ang'ania huu msemo hebu leo ufafanue maana yake??

Halafu kwani lengo la ndoa ni nini si kidumu au sasa hayo ya fisi sijui vitu vilivyooza yanatoka wapi kwahiyo lengo la ndoa siyo kudumu tena bali ni kuonekana unakula vitu visafi si ndiyo?? Na mwanaume aliyefanya ngono kabla ya kuoa ndiyo msafi si eti??
 
Unaweza kuwaongelea single moms in a +ve way; bila kuwadiscredit wanawake single wasio na watoto (kwamba hawana watoto kwa sababu wanatoa mimba). Sio kwamba single moms ndo wabaya/wakosefu sana; lakini ukishaanza kumfanyia comparison na single girl; inaonekana kama kuna walakini; kwamba kuna kitu unataka kujustify. Wasifie tu kwa sababu wapo walioamua kujifunza kutokana na makosa yao na maisha yanakwenda poa sana.

Kuwa single mom sio guarantee kuwa mtu hajatoa mimba kabla; na sio guarantee pia kuwa ataendelea kuzaa watoto. Wapo ambao wametoa mimba before ila wakaona sasa hivi wacha nizae tu; na wengine baada ya kuwa single mom akatoa ili asilete mtoto mwingine tena nje ya ndoa. Wengine hawajawahi kutoa kabisa; ni single moms ila wakapata shida za uzazi baadaye.

At the end of the day tuna watoto wetu wa kike; the right thing ni kuwafundisha kuwa kuzaa nje ya ndoa si jambo jema; ila ikitokea basi wazae tu na wajitahidi kurekebisha makosa yao. Na kwa watoto wetu wa kiume; kuzaa hovyo na wanawake kwa sababu tu jamii haikuhukumu kama inavyohukumu wanawake si sawa; siku akili zitakapokurudia utaishia kuwaonea huruma watoto wako. Tuadvocate kujitunza kwa watoto wetu wa jinsia zote; it's a honor kwa Mungu; kwa wazazi na hata kwako wewe mwenyewe, zaidi ya yote tunawaepusha watoto wetu na some unnecessary complications kwenye maisha yao. But again tusiwe too judgemental kwa single moms kwa sababu tu uzinzi wetu haukuacha alama za watoto. Afu what about the single fathers; wao wanafaa tu eeh?
Hakika,hujawahi kosea[emoji122].
Lizarazu Soma hapa...
Nadhani hili ndilo la muhimu badala ya kuendelea kutunyoshea vidole.
 
Mimi naomba nijue haya yameandikwa wapi au umeyatoa wapi hivi wewe mbona unaulizwa maswali marahisi tu ila unazunguka unaacha kujibu kwa kifupi hebu niambie haya yameandikwa wapi na umeyatoa wapi sitaki maelezo mengi wewe nijibu tu nilichokuuliza
Unajua maana ya maana?
Unajua aina za Maana?
Kama utajua hayo maswali mawili niliyokuuliza sasa tutakuwa tumemaliza mzizi wa fitina.

Kuna maana ya msingi ya maneno. Kwa mfano neno Kupe.
Kupe ni mdudu anayenyonya damu viumbe wengine. Hiyo ni maana ya msingi ya neno Kupe.

Lakini Mtu huweza itwa kupe ikiwa anabaadhi ya sifa au tabia za kupe. Kwa mfano watu wenye kunyonya wengine kama kula pesa zao huitwa Kupe. Lakini kimsingi wao sio kupe.

Mfano mwingine ni neno Kifaru. Kifaru ni myama wa mbugani. Hiyo ni maana ya msingi. Lakini kipo kifaru ambacho ni dhana ya kivita ambapo kimeitwa hivyo kulingana na umbo lake.

Tukirudi kwenye Mada.
Bikra ni alama alizonazo mwanamke ambaye hajawahi kukutana na mwanamke. Ni mwanamke ambaye hajawahi kukutana na Mwanaume. Hiyo ndio maana ya msingi ya neno bikra.

Bikra huwa kwa kitu kinachotumiwa. Mtu anayetumia kitu hicho kamwe hawezi itwa bikra. Ndio maana utasikia ardhi isiyowahi tumika huitwa Virgin land, msitu ambao haujawahi kutumika huitwa Virgin forest.

Lakini kama mtumiaji ambaye ni mwanadamu ambaye hajawahi kutumia hiyo ardhi hawezi itwa ni bikra. Bikra hukaa kwa anayetumiwa.

Mwanamke ni bikra kwa sababu yeye ndiye anayetumiwa. Ndio maana hata siku ya kwanza lazima alete shida anapotumiwa.

Sasa sijui wapi mnakwama
 
Unajiona una akili sana??
Hapo hakuna cha Figure of Speech wala nini. Sijajua kama unaelewa unalolizungumzia.

Kinachozungumziwa hapo ni Meaning Types and Types of Words.

Sijajua unauelewa gani na masuala ya lugha. Kwa mtu aliyesoma Law na masomo ya lugha hawezi shindwa elewa mada hii.

Yaani usijue bikra ni nini? Na maana yake ya msingi ni ipi? Huwezi kuwa sirius Mkuu
 
Kumuongelea single mom afu umemuacha baby daddy sio sawa. Kama single mom hafai kwa sababu atapasha kiporo na baby daddy wake; je huyo baby daddy anafaa kuwa mume ilhali hana msimamo? Au single fathers wao ni ruksa tu kupasha kiporo? Tena unakuta single father mmoja ana more than two baby mommas; je huyo ndo anafaa zaidi kuwa mume?
sasa hapo ni upande wa wanawake,kila siku ni wanaume tu ambao hawataki single mothers, wanawake hawapigi kelele kwamba haifai kuolewa na single fathers,ngoja tusubiri maoni ya wanawake
 
Kumuoa single mother yataka moyo mkuu sana.
1. Jiandae kisaikolojia
2. Usisikie ya watu.
Maana unapotaka kuoa tu , ukisema mchumba wangu ana mtoto/watoto tu; kuna baadhi ya ndugu, jamaa na rafiki utakosa msaada wao kabisa.

Kuna baadhi hata wazazi wanaweza kukukatisha tamaa kabisa usioe. Hii si kwamba hatuwapendi single mother, bali ni kutokana na tabia ya baadhi yao ya kupasha viporo na pia kuwa wametumika sana.

Pia ile kauli tu ya kuwa huyu mtoto alizaa na fulani au mwanzo alikuwa mke wa fulani, huwa inauma mno.

Nitaoa single mother ila vigezo na masharti vitazingatiwa zaidi ila nikimpata ambaye hajazalishwa itapendeza zaidi.
 
Bikira ni mtu yeyote ambaye hajawahi kufanya mapenzi fullstop nenda google katafute na pia hayo uliyoyaeleza wewe unaweza ukaniambia yako wapi nami nikayatafute
kama bado utakuwa mbishi nitaona unamatatizo ya akili.

Hivi kwa mfano Mwanaume akiitwa Mwanamke kwa mambo yake au tabia zake. Hiyo inamfanya kweli awe mwanamke. Jibu ni hapana.

Ataitwa vile lakini kimsingi sio mwanamke. Bali yeye ni Mwanaume. Hivi Diamond akiijiita simba yeye ni simba? Jibu ni hapana.

Siku zote kinachoangaliwa ni maana ya msingi ya neno. Sasa wewe kama hujui mambo madogo kama hayo unataka ujadili nini na mimi.

Mtu kama huelewi maana ya msingi ya neno Bikra unataka ujadili nini humu.
 
Bikira ni mtu yeyote ambaye hajawahi kufanya mapenzi fullstop nenda google katafute na pia hayo uliyoyaeleza wewe unaweza ukaniambia yako wapi nami nikayatafute
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oohh masikini pole kwahiyo wewe unaamini bikira ni ile ngozi tu inayoziba njia ya uzazi ya mwanamke?? Basi ndiyo maana unaongea utumbo kwahiyo ile ngozi ikitolewa kwa njia nyingine yoyote tofauti na kufanya mapenzi huyo mwanamke anakuwa siyo bikira tena eti??
Bikira ni mwanamke yeyote asiyewahi kuingiliwa kijinsia na mwanamume . Kwa sababu hiyo kizinda kinacholinda
tumbo la uzazi hakijaondolewa, bali kinabaki kama ushahidi wa hali hiyo.
Katika utamaduni wa makabila mbalimbali, kufikia ndoa katika hali hiyo ni jambo linalothibitisha msimamo wa mwanamwali unaotumainisha atakuwa mwaminifu kwa mume wake.

Hiyo ni Wikipedia.

Subiri nikuletee Kulingana na TUKI.
Ili uache kujizalilisha humu ndani kwa ujinga
 
Dah ... too much madini mpaka basi ... isipokuwa namba 3 tu.

Being a parent is not biological but a choice to love your kids and put them first above all, mtoto wako sio lazima awe wa kumzaa. Wapo watu wengi sana wamepitia machungu yasioelezeka kwa wazazi wakuwazaa ... kumbuka watoto hawatupendi na kutujali coz tuliwazaa bali kwa sababu ya yale tuliyowafanyia walipoanza kuwa na akili

I am not sure kama the main reason you love your biological parents ni kwa sababu walikuzaa? Hey, pengine ni kwa sababu ya yote waliyopitia kukufikisha hapo ulipo. By the way, mpaka una 3 years you knew nothing about them ...

Otherwise, bravo!!!

Pole sana kwa kuwa na mawazo hayo hapo kwenye red fonts.

Kama una IG acc nenda kwenye hii mada ukajione michango ya single mothers kisha urudi hapa.
Screenshot_20190910_124007_com.instagram.android.jpeg
 
Back
Top Bottom