Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
WARNING: Never marry a single mother.uamuzi ni wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huyu Zurri mbona hapa anasema anapenda kujifunza lugha halafu kwenye ile mada akakataa maana uliyompa ya lile nenoAsante
Umeielewa comment yangu?? Nimemaanisha kwenye dhambi hakuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke dhambi ni dhambi tu haijalishi kaifanya mwanaume au mwanamke yaani tutatofautiana kote ila siyo kwenye dhambi!!Unataka kuniambia Ushirikina ni sawa na kusengenya au ni sawa na zinaa au ni sawa na kuiba ?
Naongezea
Funguo malaya husifiwa na hudhaminiwa kwa kufungua makufuli mengi lakn makufuli yanayoruhusu funguo malaya hudhalauliwa na kutupwa mbali
Inaonekana UBAHARIA ni tofauti sana na UANAUME.
Sisi wanaume tunasema hivi "KWENYE WANAUME KUNA WANAUME" na hatusemi hivi "KWENYE WANAUME KUNA MABAHARIA".
Hivi hakuna Mabaharia wa kike ?
Tatzo lao la kutaka kujilinganisha na wanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373]Oohh masikini pole kwahiyo wewe unaamini bikira ni ile ngozi tu inayoziba njia ya uzazi ya mwanamke?? Basi ndiyo maana unaongea utumbo kwahiyo ile ngozi ikitolewa kwa njia nyingine yoyote tofauti na kufanya mapenzi huyo mwanamke anakuwa siyo bikira tena eti??
Mabaharia wakike ni mamaharia. Nyinyi wanaume mnasema
" KWENYE WANAUME KUNA WANAUME" hii ni sentensi tata sijui nyie ni wanaume wa aina gani msiojua kiswahili.
.
Mimi kama Baharia nasemaje ni marufuku kwa Baharia yeyote kuowa mwanamke aliyezalia kwao (Single mama) hata mjane marufuku.
Tutalimaliza PM au unasemaje ?Kule kwenye mada yetu hatukumaliza.
Tulisimama baada ya kukosa mtaalamu wa lugha
Hao hao mama zenu mbona mnawapelekea watoto.
Na wanataka mkioa muwachukue watoto muishi nao.
Hawawaonei huruma wanawake wanaoenda kuwalea.
Lizarazu wewe oa mtu sahihi,,unayempenda na anayefaa bila kujali Ni single mama au sio.
Nimekuelewa. Nimeshamalizana nae.Achana nae huyu brother.
Mtu Kama wewe sio wa kubishana na wavulana.
Mdogo wangu acha kuwaza mawazo hasi wakati wote.Pole sana kwa kuwa na mawazo hayo hapo kwenye red fonts.
Kama una IG acc nenda kwenye hii mada ukajione michango ya single mothers kisha urudi hapa. View attachment 1203489
Mwenye ndoa ni mwanamume, ndiye anayeoa. Yeye ni mtafutaji na mlishaji tu, ila mama ndiye mwenye connection na mtoto, ndio maana hata akiwa na wake watano kila mmoja akawa na watoto, ubaguzi utafanywa na wanawake, sio mwanamume.Mhh hatari sana.,Upande wa Single Fathers je!?
Unawazungumziaje vijana wanaochumbia ilhali wana watoto nje ya ndoa na mwanamke/wanawake wengine?
Sawa,nimekuelewa sasa.Umeielewa comment yangu?? Nimemaanisha kwenye dhambi hakuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke dhambi ni dhambi tu haijalishi kaifanya mwanaume au mwanamke yaani totatofautiana kote ila siyo kwenye dhambi!!
Bila shaka tumepata mtaalamu wa lugha atakayeweza kutusaidia kwenye point yetu ile kwenye mada ile
Ukitaka nitoeje maoni?Huyu dada ameongea kitu Cha maana.
Nyie mmekaa kunyosha vidole badala ya kutoa maoni kama haya.
ndo maana nakupenda mkuuKuna single moms wengi tu wameolewa na kutulia kuliko wadada waliolewa wakiwa
hawana watoto
Acheni hizi stereo types za kishamba
[emoji2][emoji2] Ni ukweli mchungudaaah, hapa umepiga msumari kwa nguvu, nasikia mtu akiugulia tu kwa mbali
Sasa kijana ndioa anatakiwa alijue hili.Wapo
Ndio unafanya makosa zaidi,kuuwa kiumbe ni jambo baya,na kama ikitokea umepata mimba nje ya ndoa,wewe subiri uzae,kisha kama ni mtu wa dini fanya toba ya kweli na ujutie kosa ulilolifanya na usilifanye tena na ulipige vita jamboamiia hilo.
Sasa tatizo lenu mnabeba mimba nje ya ndoa na mnazitoa mimba halafu wala hamuoni kama ni tatizo,mwisho wa siku mnazidi kupewa mitihani na kuonekana madhalili katika jamii.
Hivi ushawahi kuona kuna nazi iliyoshindana na jiwe ? Najua umenielewa.