Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

OMG, me wanting to know you?? Between me and you who wants to know the other?? Even most of your comments show that you are into people's real lives!
Then your reality about me not my reality, your presuppositions about me not my thoughts! You are bit dim who's tryna so hard to know me. Keep yo ass in gear one day you wil
 

Ungetamani iwe hivyo, lakini ukweli hauko hivyo. Sipendi niigeuze hii mada, ila suala la uzinzi ni la kiimani zaidi kuliko haja ya huu uzi. Mwanamume haruhusiwi kuzini, ni dhambi. Dhambi inaweza kupata msahama akitubu kwa moyo na kuamua kuiacha. Mwanamke ana kitu cha ziada, akizini atatolewa bikra, akitubu kwa dhati atasamehewa, aila bikra hairudi.

Pia kuna suala zima la kuyaamsha mapenzo, mwanamke akishakuyaamsha mapenzi, ni vigumu kuyazuia. Atakachofanya ni kujaribu kuwa na wapenzi wachache kwa wakati mmoja akidhani hatahesabika kahaba. Leo atakuwa na huyu, wakiachana ana huyu, wakiachana ana yule.

Hivyo mwanamke ukijifanya wa kisasa unijimaliza mwenyewe.

Kwa habari ya utamjuaje mwanamume ambaye hajafanya mapenzi ni injili ya wanawake, haijatoka kwa Mungu. Hakuna concept hiyo isipokuwa naona mambo ya haki sawa yakiingizwa kwenye imani.
 
If ain't matters why are you even all over me then? Btw the whole of your explanatory commentary is totally bulshiit.
I'm sorry for that spear in your heart

The problem with you is that instead of sticking to the thread alone you start relating it with people's real lives
 
Siku mkiona mabinti wadogo wanavyotoa mimba zaidi ya moja au mbili, pengine Single mothers watapata heshima yao

Mengine sijui na sitaki kujua
Wote hawatakuwa na heshima kama binti bikira. Kwani hakuna masingle mother waliochoropoa mimba? Think loud!! Kwa akili yako unataka kusema ni heriya single mother, unashangaza aisee. Basi ngoja waendelee kuzalishwa ili mpate wa kuoa.

Ila elewa tu hawa mabinti ambao leo unawaona hawafai kwa jinsi wanavyotoa mimba ndio ma single mother wa kesho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuh msamba??
 
Na akili za wanaume je zikoje??
 
Kwahiyo na single fathers nao hawatakiwi kuoa single mothers??
 
Lakini pia wapo ambao wanataka kuzaa tu mtoto wake tena na mtu fulani aliye mchaguu na hataki kuolewa.... hawa wapo!

Lakini pia wapo single mothers ambao wanaume wanawalilia kuwaoa kwa udi na uvumba.....hawa nao wapo!

Suala hili kwamba single mother hawaoleki linahitaji mjadala mpana sana na halichukui mtizamo mmoja tu. katika haya yote mtu mmoja mmoja kakutana na experience yake kwenye aina ya mahusiano na wanawake waliokwisha zaa watoto na kama tukichukua exprience ya mtu mmoja katika yale aliyokutana nayo tunaweza kumiss point kwenye mjadala huu adhimu!

Na mjadala huu naomba usiwe biased kulenga upande wa wanawake tu....tuuweke na upande wapili maana na sisi wanaume tunapopata watoto kabla ya kuoa nn mustakabali wetu baadae tunapohitaji kuoa wanawake ambao hawajazaa? kama tukikubaliana na hili kuwa single father nae hasitahili kuoa mwanamke ambae hajapata mtoto hapo tutaelewana. Na hivyo basi lazima tittle ya uzi huu tukaibadili na uwe... KWA HIYO UNATAKA KUOA AU KUOLEWA NA SINGLE PARENT?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…