Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sasa kujifunza kwako kiarabu usituchanganyie hapa kwenye mada yetu.Sijasema umeongea kiarabu,mimi nazungumzia asili ya neno,hata katika kutohoa maneno ya lugha ya kigeni msingi wao huwa wanaangalia maana na umbile la maneno husika.
Mfano,tamko dukani,njaa,maisha yote ni ya asili ya kiarabu na maana zake ni sawa na zile maana za lugha ya Kiarabu. Ajabu ni pale mwenye neno lake unamwambia amecopy ? Swali amecopy vipi ?
Hilo Kanisa asili yake ni koarabu,ukweli huu haubadiliki,ndio maana tunahimizwa kujua ajili ya maneno,na inakuwa hivi "Asili ya Kanisa ni kiarabu ila Kiswahili imechukua neno hili na kuwa la Kiswahili"
Kiarabu najifunza karibu kila siku,Kiswahili sio Kiarabu,ila hii haibadilishi ya kuwa asili ya maneno mengi ya Kiswahili ni ya Kiarabu.
Jambo la Kiswahili kuwa si Kiarabu nalijua miaka na mikaka iliyopita,sababu najifunza kiarabu karibu kila siku. Natilia mkazo tu.
Tulishakupa maana kibiblia bado unaruka ruka tu