Tatizo mnaandika mambo ya uongo,sasa mtu anakwambia Yesu alihubiri Biblia kwenye masinagogi wakati Biblia imekuja kuandikwa miaka mingi baada ya Yesu kufa,huyu anakuwa amekusudia kuongopa au hajui anachokiandika.Kwanini unalazimisha mambo zurri.
Ukitaka iandikwe unavyotaka wewe!?
Kwa taarifa yako Biblia Ni mjumuiko wa vitabu
Nachotaka mimi ni nyinyi kuandika ya kweli na mkubali ukweli na mjibu maswali yangu nayo wauliza.