Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kama wewe ni wa kiume, mama yako akiona maoni yako haya atafurahi sana, lakini baba yako akiona hiki kitu umeandika, atangiwa simanzi. Irresponsible individuals wapo kila kona, ulimwengu mzima, je ni jukumu la nani kuwaepuka?

Little Boy Riki, hawa wanaokufanya uwe emotional leo kiasi unalose focus kama mwanaume zamani kabla hawajaitwa Single Mothers waliitwa MASISTA DUU na hao waliowazalisha na kuwatelekeza au wakashindwana si wanaume, ni MABROO YOO and the likes. Irresponsible is a girl who despite seeing other older girls suffering from fantasy will opt to fall under the same ditch expecting the community to feel sorry for her.

Nitakupa mfano, japo sipendi kuyajadili maisha ya watu wengine lkn kama wanaishi na sisi, hatuwezi kusema hatuwaoni. Unamuona mwanamuziki Diamond na namna ya tabia zake za kimahusiano, leo yupo na mwanamke huyu, kesho kamuacha, kesho kampa mimba huyu, kesho kutwa kamuacha. Nijibu kama mtu mwenye akili timamu, yupi anakushangaza zaidi kati ya Diamond na wanawake wanaoanza naye mahusiano hali wakijua hivyo ndivyo alivyo?
Kwahiyo Diamond kuwa vile alivyo ni sawa ila hao wanawake kuwa vile walivyo ndiyo siyo sawa?? Yaani unachojaribu kusema ni kwamba wanaume kukataa watoto wao ni haki yao na hawatakiwi kukemewa ila wanawake kuachwa na watoto ndiyo wanakosea wanatakiwa kukemewa??
 
Yule jamaa mjanja Sana.
Aliona hapa ili wasijue ukweli ngoja niwaambie Yesu hakufa...maana angewaambia ukweli kwamba alikufa akafufuka ndio akapaa mbinguni aliona watakuja kumdharau akifa,maana hawezi kufufuka.
Akaona ili asawazishe Mambo,aonekane ametoka ngoma droo na Yesu...akawaambia Yesu hakufa[emoji3].
Ndio zao hizo.. .!

Hahahaha,
 
Single mama wengi ni matokeo ya uzinzi ama uasherati. Kwani hii verse ulikuwa unamaanisha nini??? Uzinzi sio dhambi ni biskuti eti???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee tulishamalizana tukaelewana nini tena unaanza kushupaza shingo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Uzinzi na uasherati ni misamiati isiyo na dini. Ni kiswahili sanifu hicho
 
Yule jamaa mjanja Sana.
Aliona hapa ili wasijue ukweli ngoja niwaambie Yesu hakufa...maana angewaambia ukweli kwamba alikufa akafufuka ndio akapaa mbinguni aliona watakuja kumdharau akifa,maana hawezi kufufuka.
Akaona ili asawazishe Mambo,aonekane ametoka ngoma droo na Yesu...akawaambia Yesu hakufa[emoji3].
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hebu kwanza nipe ushahidi kwamba Qur'an ilishushwa kutoka mbinguni.

Anasema Allah aliye juu :

1. Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu.
2. Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri?
3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
4. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
5. Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri. (al Qadr : 1 - 5)
 
Sasa uliona wapi mchungaji anakemea uzinzi na uasherati kwa wanawake tu na kuwaacha wanaume?? Huyo mchungaji si atakuwa mnafiki biblia inakataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote haijasema sijui nani anapata madhara nani hapati madhara hapana imesema tu kwamba uzinzi na uasherati ni dhambi

Na hicho ndicho kinachotakiwa kihubiriwe kwa watu wote wa mataifa tofauti na hapo huo ni unafiki na hata biblia hiyo hiyo imemuita mnafiki mtu ambaye anatoa boriti kwenye jicho la mwingine kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho lake mwenyewe sasa wewe tukikuita mnafiki unasema sijui sindano zinauma mara hatupendi ukweli sasa kati ya sisi na wewe nani hapendi ukweli??
Mada ni single mother sio nje ya hap9
 
I see kwanini hizo nguvu msizielekeze kwa wanaume wanaowaomba wanawake wawavulie chupi??
Hizo sababu ndio nazizungumzia mimi,kwani zikiwepo sababu ndio mvue ?

Kuweni wajanja na akili timamu,tatizo huwa mnapeleka mbele mapenzi pasi na elimu,kuliko elimu kwanza.
 
Mola alivyoumba miti na milima,na viumbe wengine ulijiuliza kulikuwa na viwanda ?

Mola wetu ni mjuzi wa kuumba na akitaka jambo liwe basi linakuwa.
Kuhus pombe kukatazwa duniani na kuruhusiwa peponi,hizi ni nyakati mbili tofauti na hii ni sheria na utaratibu anao uweka yeye,kwamba hili kwa duniani liwe haramu ila kwa peponi liwe haramu.

Ila una maswali ya kitoto sana,unahoji viwanda peponi wakati yupo mjuzi wa kuumba,akitaka jambo liwe linakuwa tu.
Hahahaha...hilo swali si la kitoto Sheikh

Yaani Mola akataza Pombe kwakuwa ni HARAM...lakini kule Peponi ni HALAL

Ni Mola gani kilaza namna hiyo?
 
Mola alivyoumba miti na milima,na viumbe wengine ulijiuliza kulikuwa na viwanda ?

Mola wetu ni mjuzi wa kuumba na akitaka jambo liwe basi linakuwa.
Kuhus pombe kukatazwa duniani na kuruhusiwa peponi,hizi ni nyakati mbili tofauti na hii ni sheria na utaratibu anao uweka yeye,kwamba hili kwa duniani liwe haramu ila kwa peponi liwe haramu.

Ila una maswali ya kitoto sana,unahoji viwanda peponi wakati yupo mjuzi wa kuumba,akitaka jambo liwe linakuwa tu.
Kwahiyo sasahv Mudy anagonga zake Wine huko Peponi.

Si ndio?
 
Kwanza Allah ndio nini/ nani?

Wenzako huwa wanabwabwaja na kukimbia hilo swali ama watoe majibu ya kizushi.
Anasema Allah aliye juu :

1. Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu.
2. Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri?
3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
4. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
5. Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri. (al Qadr : 1 - 5)
 
Wewe ulitubishia mwanzo kwamba kafiri linatumika na waislam kwa watu wasioamini. Hivo sisi wakristo hatupaswi kutumia hilo neno tutafute letu.
Ndio hivyo,kuwapo sio kwamba wao wanatumia,ndio maana nimekwambia hili ni tamko maalumu na ni tamko la kisheria.
Ndio tukakwambia kabla ya uislam neno kafiri lilishatumika na kama unavyojua Qur'an imechakachuliwa kutoka kwenye biblia usichoelewa ni kipi?
Nikawauliza lilitumika wapi ? Ukasema mtume amecopy kutoka kwenye Biblia,nikauliza amecopy vipi ? Mpaka muda huu hamjajibu swali hilo.

Niaendelea kwa kusema hivi vipi acopy tamko ambalo ni lao kiasili ? Na lugha ya Biblia ya asili inajulikana sio Kiarabu ?

Bibie nimekuuliza swali hili mara kibao,onyesha ilichakachuliwaje ? Sasa ukisema tu bila kuweka ushahidi wewe ni muongo. Sasa nakupa miaka kumi ulete ushahidi kwamba Qur'aan imechakachuliwa toka kwenye Biblia.
 
Kwahiyo wanaume wanaoomba siyo mazwazwa?? Yaani maandiko yanakataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote lakini eti mwanaume akiomba kwa lengo hilo ni sawa ila mwanamke akikubali kwa lengo hilo hilo ni kosa si ndiyo??

Zurri unaniangusha, yaani nilitegemea hapa utakuja na hoja zako zile kuntu ila naona unayumba basi wewe bora ubaki kwenye dini tu ambako nako kuna sehemu unashindwa kuyatumia maandiko yenu vizuri.
Kwani kuombwa maana yake ni KUPEWA ?

Tatizo nyinyi ni wa Mazwazwa isipokuwa wanawake wachache sana wenye kujitambua.
 
Anasema Allah aliye juu :

1. Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu.
2. Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri?
3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
4. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
5. Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri. (al Qadr : 1 - 5)

"Hakika sisi tumeiteremsha Qur'an"
Haya maneno ndio ameyasema Allah ? Na hiyo "sisi" ni wakina nani?
Bado sijaona neno kutoka mbinguni.
 
Back
Top Bottom