Ndio hivyo,kuwapo sio kwamba wao wanatumia,ndio maana nimekwambia hili ni tamko maalumu na ni tamko la kisheria.
Nikawauliza lilitumika wapi ? Ukasema mtume amecopy kutoka kwenye Biblia,nikauliza amecopy vipi ? Mpaka muda huu hamjajibu swali hilo.
Niaendelea kwa kusema hivi vipi acopy tamko ambalo ni lao kiasili ? Na lugha ya Biblia ya asili inajulikana sio Kiarabu ?
Bibie nimekuuliza swali hili mara kibao,onyesha ilichakachuliwaje ? Sasa ukisema tu bila kuweka ushahidi wewe ni muongo. Sasa nakupa miaka kumi ulete ushahidi kwamba Qur'aan imechakachuliwa toka kwenye Biblia.