Weka andiko bibie,usipate tabuNdoa hufungwa Mara moja tu.
Ukifunga zaidi ya Mara moja ujue mkeo au mumeo amefariki..ndio maana Ya kile kiapo cha kutenganishwa na kifo.
Ukiona ndoa inafungwa Mara 3 au 4 ujue hiyo sio ndoa..Ni uzinzi..
Mkiongozwa na huyu jamaa yenu muhuni wa wahuni
Sawa.Asili ya Yesu ni Mbinguni. Unalingine?
Rejea ndoa za mitume waliopita.Wapi ameruhusu kuoa mke zaidi ya Mmoja?
Unajua maana ya biblia maana unamaswali ya kitoto sana. Sasa katafute maana ya biblia alafu uje na maswali yako.Sasa bibie mbona jambo liko wazi sana,kitabu cha nabii Isaya ndio Biblia ?
Je ilianza Biblia au Kitabu cha Isaya ?
Pili,Luka aliwahi kumuona Yesu ?
Nataka ushahidi wa kwamba Yesu alisoma BIBLIA,usiniletee habari za vitabu vingine.
Sawa.Unajua maana ya biblia maana unamaswali ya kitoto sana. Sasa katafute maana ya biblia alafu uje na maswali yako.
1kor7:8-9Weka andiko bibie,usipate tabu
Ubanichosha sasa,unataka kila muda niende google ?1kor7:8-9
1tim5:14
Hajui kusoma huyo anawasumbua bure. Yeye kakariri kiarabu cha quraan tu.1kor7:8-9
1tim5:14
Hehehe...Sasa huku ndio kwenyewe Sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rejea ndoa za mitume waliopita.
Ibrahim alikuwa na wake wangapi ? Yokuub alikuwa na wake wangapi ?
Ubanichosha sasa,unataka kila muda niende google ?
Tusaidiane hapa,uwe unapiga hata picha andiko,ili tuokoe muda,mimi unakuwa unanipa kazi mara mbili.
Safi kabisa,kweli yawezekana mitume wa Mola wafanye jambo baya halafu Mola akalikalia kimya ?Hehehe...Sasa huku ndio kwenyewe Sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nilijua tu utakimbilia huku wewe kafiri.
Ngoja nikufundishe na ulishike hili...
Hatufwati Nini mitume walifanya...tunafwata Mungu anasema nini!...
Mtume nae Ni binadamu Kama wewe....Neno la Mungu ndilo litakalosimama.
Usiniletee habari za Suleiman maana huku umechemka vibaya.
Na kwa msisitizo agano jipya linaongelea Mke na mume...sio wake na mume...
Kiswahili kidogo hiki nacho kinakupiga chenga!?? Sasa wewe unaweza kipi?
Huku ni kisoma sio kukariri. Unafikiri quraan hii unatamka maneno ila maana hujui.Ubanichosha sasa,unataka kila muda niende google ?
Tusaidiane hapa,uwe unapiga hata picha andiko,ili tuokoe muda,mimi unakuwa unanipa kazi mara mbili.
Kasome kitabu cha ufunua utaona mahali Yesu anajitambulisha kuwa yeye ni Mungu.Safi kabisa,kweli yawezekana mitume wa Mola wafanye jambo baya halafu Mola akalikalia kimya ?
Vipi alipoongeza mke wa pili mtume Ibrahimu,alipata maelekezo yale toka kwa nani ?
Nakufundisha sasa,kama mnafata maneno wapi Mola alisema wao ni nafsi tatu ? Au wapi Yesu alisema yeye ni mungu ?
Tuliza akili,nataka upige picha andiko yaani matini yake.Nilishakwambia situmii soft copy..Nina hardcopy iko nyumbani..unataka nipige picha gani!??au unazitaka picha zangu nijipige??
Inaonekana unapenda sana kupoteza muda.SI umekuja hapa kwa hiari yako mwenyewe!???kwani Kuna mtu amekulazimisha kuniomba hayo maandiko?
Sawa.Kasome kitabu cha ufunua utaona mahali Yesu anajitambulisha kuwa yeye ni Mungu.
Sawa.Huku ni kisoma sio kukariri. Unafikiri quraan hii unatamka maneno ila maana hujui.
Ngoja nikwambie Zurri...Safi kabisa,kweli yawezekana mitume wa Mola wafanye jambo baya halafu Mola akalikalia kimya ?
Vipi alipoongeza mke wa pili mtume Ibrahimu,alipata maelekezo yale toka kwa nani ?
Nakufundisha sasa,kama mnafata maneno wapi Mola alisema wao ni nafsi tatu ? Au wapi Yesu alisema yeye ni mungu ?
anayepoteza muda Ni wewe.Tuliza akili,nataka upige picha andiko yaani matini yake.
Inaonekana unapenda sana kupoteza muda.
Huyu unadhani ataelewa ufunuo Kama timotheo iliyo wazi kabisa ameshindwa kuelewa?[emoji3]Kasome kitabu cha ufunua utaona mahali Yesu anajitambulisha kuwa yeye ni Mungu.