Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mhaya yule ana mbwembwe sana. Sawa tu na wewe ukianza kutema kimalkia. Hapo na Nyani awepo. Na Kiranga... Utatu korofi wa Wasukuma watatu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mpaka Sasa sijaona wa kumfikia kiranga.
Huyu jamaa Ni namba nyingine..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hayo uliyoyaacha ndio ya Maana.
Hili ilikuwa kuweka msisitizo tu kwamba hakuna mtu aliyenitafsiria
Yaani mpaka nimekuona laivu kabisa akilini mwangu. Na kwa vile taswira niliyokujengea ni matata sana basi tu nikakosa hata tamaa ya kuendelea kusoma hayo mengine.

Nakuja...[emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Hiyo ya mwanadada ilinivunja mbavuu sana[emoji1787][emoji1787]!! Ya laki mbili hiyo sijaiona
 
Kinaeleweka akiwa anateremsha mwingine...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mimi kingereza kigumu hicho sikiwezi kwa kweli
Ukiwa mzuri wa kufuatilia misamiati ya kiingereza mbona kinaeleweka vizuri tu
Ila kiboko Yao Ni kiranga
 
Halafu sijamsikia muda sasa
Mbona juzi tu amepost Uzi...akawa anawaponda wale waliotapeliana hela za memory [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti laki 2 tu ndio inawafanya wanaume wapigizane kelele,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakuona Ewe Patrice Lumumba[emoji41][emoji41]
Aisee huyo Prof P. O. Lumumba anapenda sifa ni balaha.

Aliwahi kuwa muadhiri na mkuu wa idara ya sheria chuo kikuu cha Nairobi, wanafunzi wake wanakwambia anavyoongeaga kwenye conferences mbali mbali ndio hivyo hivyo hata akiwa ana fundisha.

Yaani hili uweze kwenda nae sawa yapaswa ukae kamusi karibu.. Nilichoka nilivyoskia hayo.
 
Hiyo ya mwanadada ilinivunja mbavuu sana[emoji1787][emoji1787]!! Ya laki mbili hiyo sijaiona
Nenda kaangalie.
Utacheka uzimie...anasema wanaume wanapigizana kelele za kutapeliana laki 2 tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti wale wakina perimeter na youngkato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani yule jamaa Ni comedian mzuri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo unafwata nyayo zake!??
 
Yaani mpaka nimekuona laivu kabisa akilini mwangu. Na kwa vile taswira niliyokujengea ni matata sana basi tu nikakosa hata tamaa ya kuendelea kusoma hayo mengine.

Nakuja...[emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Sifa zangu Ni zile zile pale juu.
Mfupi nyundo,,,cheusi mangala,umbo no 9[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mhaya yule ana mbwembwe sana. Sawa tu na wewe ukianza kutema kimalkia. Hapo na Nyani awepo. Na Kiranga... Utatu korofi wa Wasukuma watatu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hakika Yule ndio muhaya sasa tena wa muleba.

Hahaha!! Hao jamaa wawili hili lugha ya kuazima ilishakuwa kama yao kumbuka hata mazingira wanayoishi yana mchango mkubwa sana wao kuwa hivi tunavyowaona.
 
You are just taking me back to what I said earlier, I don't have to doubt my comprehension because I am absolutely sure that it is not frail.
If your mediocre vacillanting feeble-mind couldn't even take a grip of my pellucid explanations i don't expect you to apprehend the frailty of your comprehension.

Stupid indeed.!! [emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…