Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hii nchi wanafiki Ni wengi.Huyu mtu ni hatari zaidi ya hatari. Ni wa kuangalia sana. Amenyimwa zile kamati za bunge alizokuwa anapigia hela basi visasi si visasi ali mradi vurugu tupu. Hata leo huyu akipewa cheo kimyaaa hutamsikia tena. Hovyo kabisa !!!
Rais wetu Ni mzuri ila wafuasi wake Sasa [emoji3525].
Hata hao wapinzani nao Ni wanafiki tu.