Mimi nimeolewa juzi tu na mwanume mwenye mtoto, jamani najutaaaaa. Kama isingekuwa ndoa ya kanisani tungeshaachana, japo sijui yakinishinda nasepa tu. Lakini kusema kweli ni mtihani.
Uchunguzi wangu ni yakinifu,Ndugu andika maumivu, tuulize sisi tuliokubali kuolewa na wanaume waliozaa ujanani kwao ni kichomi. Hao watu wanakitu kimewaunganisha tn kizito sana asikuambie sijui hawana mawasiliano hayo mawasiliano m'ume akiyataka yatarudi tu. Hao wanawake hawaonagi shida kujiachia kwa baba watoto zao ht kama kaolewa haoni tabu, ila km wew umependa na umefanya uchunguz yakinifu basi Oa
Wewe ni Mr haambiliki.Kwani hao wengine hawakupata watoto katika mahusiano yao mapya?Any way,oa huyo at your own risk.Uchunguzi wangu ni yakinifu,
Labda apo uliposema baba wa mtoto akianza tena kutaka mawasiliano,
Hicho kitu kinachounganisha mimi nikimzalisha hakiwezi kuunganisha..
Hahahaha masikini pole sanaKiamba mkumba wewe uliyetolewa ubikira shule ya msingi, ajuza mkubwa.
.
Usinizoee zoee mimi kamzoee baba yako dagaa wewe
Sasa kama wanaume hamuwezi kuchomoa mnapotongozwa na wanawake mnadhani ndiyo itakuwa rahisi kwa wanawake kuchomoa wanapotongozwa na wanaume??Hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kukataa anapotongozwa na mwanamke, isipokuwa tu kama huyo mwanamke mvuto ziro. Otherwise sumu haijaribiwi kwa kuionja. Ukibipu unapigiwa. Ukiacha goli wazi kitu kinatinga, na matokeo yake yanakuhusu mwenyewe mwanakulitaka mwanakulipata, unakuwa singo maza unahangaika nalo na hata aliyekupelekea moto atakuwa miongoni mwa watakaokucheka!
Umenena vyema sana mkuuTuache kuishi maisha nyuma ya wakati kwa wakati kama huu ni tofauti na zamani kiukweli kujilinda mpaka uwe na miaka 30+ ni ngumu sana so kwa sasa tuishi hivyohivyo tu angalia mazingira na mtu ambaye unawaza kuwa naye kabla hujacheki usingle mama wake otherwise unaweza poteza mke mwema kisa umekuta ni single mum et ni mke wa mtu
😏😏Hahahaha masikini pole sana
Vyovyote lakini wakifanya uzembe kinachotokea ni mimba na mwanamke anabaki kuhangaika nayo kama single mother. Kwa hiyo ni wajibu wa mwanamke kuwa makini maana ndiye the vulnerable party.Sasa kama wanaume hamuwezi kuchomoa mnapotongozwa na wanawake mnadhani ndiyo itakuwa rahisi kwa wanawake kuchomoa wanapotongozwa na wanaume??
Uchunguzi wangu ni yakinifu,
Labda apo uliposema baba wa mtoto akianza tena kutaka mawasiliano,
Hicho kitu kinachounganisha mimi nikimzalisha hakiwezi kuunganisha..
Siyo mashindano ila hii tabia ya wanaume kujiona hawana makosa eti kwa sababu wao hawapati madhara ndiyo inachangia kuharibu jamii hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi wala maovuVyovyote lakini wakifanya uzembe kinachotokea ni mimba na mwanamke anabaki kuhangaika nayo kama single mother. Kwa hiyo ni wajibu wa mwanamke kuwa makini maana ndiye the vulnerable party.
Ukijijua una pumu usilete ujanja wa kusema eti mbona wengine wanavuta sigara, ukivuta sigara utabanwa kifua unaweza hata kufa ukaacha wenzio wakiendelea na starehe hiyohiyo iliyokuua!
Mwanamke ukileta ubishi eti kwa kuwa wanaume wakitongozwa wanakubali, basi na wewe kubali tu wakupelekee mambo upate khabari yako! Walewale unaowakubalia watakuita 'mama huruma', ukizaa ni 'single mother' na mwanao ni 'mwanaharamu', yote kwa kutaka tu mashidano ya kijinga.
Yeah breath it inkutoka marianah mpaka karma
mbona ilikua ID poa sana ile, hii imekaaje sijuiYeah breath it in
mbona ilikua ID poa sana ile, hii imekaaje sijui
Kuna single moms wengi tu wameolewa na kutulia kuliko wadada waliolewa wakiwa
hawana watoto
Acheni hizi stereo types za kishamba