Hahahaha tena mbona Karma ni jina la kike kabisa mkuuiko kiume hii
bora urudie ileileHahahaha tena mbona Karma ni jina la kike kabisa mkuu
nimegundua umebadilisha jina, hujafungua ID mpya, umefanyajefanyaje? mimi sioni sehemu ya kubadilishaIko vizuri tu mbona
Izoee hii tu mkuubora urudie ileile
Hahahaha JF hakuna sehemu ya kubadilishia username unamtafuta moderator yoyote unayeona yuko active unamwambia akubadilishie unamtajia na username unayotaka kuitumia anakubadilishia mfano mimi huwa namtafuta Maxence Melo usernames zangu zote kanibadilishia yeye na ndiye ambaye yuko active karibu muda wote wengine naona huwa wanachelewanimegundua umebadilisha jina, hujafungua ID mpya, umefanyajefanyaje? mimi sioni sehemu ya kubadilisha
sawasawaHahahaha JF hakuna sehemu ya kubadilishia username unamtafuta mod yoyote unayeona yuko active unamwambia akubadilishie unamtajia na username unayotaka kuitumia anakubadilishia mfano mimi huwa namtafuta Maxence Melo usernames zangu zote kanibadilishia yeye na ndiye ambaye yuko active karibu muda wote wengine naona huwa wanachelewa
ππ
share expirienceMimi nimeolewa juzi tu na mwanume mwenye mtoto, jamani najutaaaaa. Kama isingekuwa ndoa ya kanisani tungeshaachana, japo sijui yakinishinda nasepa tu. Lakini kusema kweli ni mtihani.
Lugha ya ukakasi ndio ikoje?Una lugha ya ukakasi, utagombana na wanaJF wangapi?
Kazi kweli kweli mkuuUna lugha ya ukakasi, utagombana na wanaJF wangapi?
Lugha ya ukakasi ndio ikoje?
Nina ugomvi kuanzia na boss wenu Max hadi mfanyakazi wake wa mwisho sembuse nyie member tu
.
Huu ugomvi wa keyboard nao ni ugomvi πππ
Hahahaha! Nimo humu toka 2011 ID zangu zingine kama sita hivi ban zake hazijawahi kuisha ndio maana unaona nina ugomvi hadi na Max.Wenzio tulianzia huko huko...utabadilika tu trust me,,,, I canβt wait to see you as changed person ππππ
If not you why coming here mamaring? Are you crazy or what?But not me.
Nenda NIDA wana taarifa zangu zote.
Tukiachana na hizo post,mimi kama mimi unanishauri nini mkuu
Naona uzi umeunganishwa ..walau iwe hivyo..Sababu kubwa uloeleza ni kwa kuwa mama yako mzazi awezi kufurahishwa haha basi sawa
Ila unaweza usimuoe single maza ukaowa mama wa marehemu kadhaa na bado mkafika kwenye hiyo ndoa mayai hakuna tena kizazi kishaharibika, Muombe tu Mungu akupushie majanga ila usiwaKashifu wadada ambao wamekutana na hiyo hali mana hakuna mwanamke anapenda kuzaa alafu alee mwenyewe.
Alafu vipi wadada single inafaa waolewe na single father? Umekuwa binafsi zungumzia upande wa pili pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaaa mtoto sio rizki huyu si umeona hata anavyobwabwaja kwa sauti laini na Tamu.Bado kidogo kuposwaHata wewe sio rijali. Rijali gani unachamba mange haoni ndani