Mwelezeni mwaume mwenzenu punde mtasikia ameanza kubana pua ..na kuvaa kanga naye ahudumiwe.Mjini pagumu.Kweli halafu hawa wavulana ni waoga wa maisha wanachokimbia sio single mother wanakimbia majukumu ni wakina uchebe hawa ila mi naona mwanamke ni mwanamke akikupenda mkapendana weka ndani watoto lea
Sent using tekino
Being confrontational is not nice, chunguza why are you angry and bitter then work on it..Hahahaha! Nimo humu toka 2011 ID zangu zingine kama sita hivi ban zake hazijawahi kuisha ndio maana unaona nina ugomvi hadi na Max.
.
Mimi ni yule jana leo na hata kesho usitegemee nikibadilika Rebby
I'll Stop pushing panic into something i CANNOT CONTROL.Being confrontational is not nice, chunguza why are you angry and bitter then work on it..
Funguka mkuu ni tatizo lipi hilo,ila kiukweli kuna jirani yangu alikuwa anaishi na single mother na kazaa naye,sasa toto la kwanza la huyo single mother lipo chuo ndio linamchukia baba wa kambo na kumshawishi mama yake aachane na huyo jamaa.Matokeo yake mdada kaanza kumsumbua jamaa na kibaya zaidi mtaji wake wa biashara kapewa na jamaa na kusababaisha jamaa afilisi biashara yake na akawa hana kitu.Hapo ndio migogoro ikaanza mwanamke kutwa kumponda mwanaume,migogoro ilipozid wakaachana na jamaa kapata kazi kwenye kampuni ya usafirishaji,sa izi anapiga masafa ya Zambia na Congo...Hili la kupasha kipolo siyo tatizo sana maana liko chini ya asilimia 98. Sasa kuna hili la kukuibia pesa ili awekeze badae ya mwanae hili liko zaidi ya 99℅. Ila nalo siyo noma sana. Sasa kuna hili ambalo hata mimi sitaki kulisema maana hili ni tatizo asilimia 100. Hili ndugu hata mimi sitaki kulisema
Sema yote lakini ukweli unabakia kuwa nazi haishindani na jiwe. Hata kama nazi na jiwe wana makosa, wakigongana nazi itapasuka na jiwe litaendelea kupasua nazi nyingine.Siyo mashindano ila hii tabia ya wanaume kujiona hawana makosa eti kwa sababu wao hawapati madhara ndiyo inachangia kuharibu jamii hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi wala maovu
Haya ya kusema kwamba mwanamke ndiye anaathirika zaidi ni mitazamo ya jamii na siyo kila mtu anafuata mitazamo ya jamii sisi wengine huwa tunafuata maandiko ambayo yanasema wote wanaume na wanawake waache uzinzi na uasherati
Sasa ninyi mnaoshikilia bango jinsia moja eti kwa sababu tu jinsi nyingine haipati madhara (wakati nayo inahusika) ndiyo mnakuwa wanafiki ifike pahala tuache unafiki tuseme ukweli kama tumeamua kuyakemea maovu tuyakemee kwa jinsia zote na kama tumeamua kuyakalia kimya tufanye hivyo kwa jinsia zote
Kumbuka hata kuvuta sigara eti kwa sababu tu hauna pumu hakubadilishi ukweli kwamba kuvuta sigara ni kubaya kwa kifupi tu ni kwamba wanaume waache kutongoza bila kuwa na nia ya dhati na wanawake waache kukubali bila kuwa na nia ya dhati tofauti na hapo mtakuwa mnapiga kelele tu na mnapoteza muda kila kitu kudhani tunataka usawa wakati tunaongea ukweli
Single mother hafai hata kidogo kwa mwanaume ambaye hajawa baba, period.Inamaana single mothers hawajitambui namna hii au mnatumia mifano ya wachache kuhukumu wote?
Eti? Unasema?Uchunguzi wangu ni yakinifu,
Labda apo uliposema baba wa mtoto akianza tena kutaka mawasiliano,
Hicho kitu kinachounganisha mimi nikimzalisha hakiwezi kuunganisha..
Ndoa kuwa na changamoto sio lazima itokane na mzazi moja kuwa na mtoto. Wengine wanaanza fresh na wanashindwana baadaye kwa sababu tofauti kabisa. Hizi fikra za kusema single mothers hawaoleki sio sahihi kabisa.Inamaana wanawake wameisha au? Mbona unatia aibu kijana. Au domo zege umeona ni rahisi kuwapata
Mechi inaanza 0-0 we uliona wapi mechi inaanza 1-0 raha ya mke kuoa mpate wote mtoto wa Kwanzaa wakwenu
Hata wazazi wako watakuwa wanakuskitikia tu wamekubali tu kwa vile maamuzi ni yako
Oa tu.ila jitahidi uwe na pumzi za kutosha pia umpende Huyo mtoto japo kinafikiTukiachana na hizo post,mimi kama mimi unanishauri nini mkuu
Wewe ni muumini wa dini gani hebu tuanzie hapo kwanza??Sema yote lakini ukweli unabakia kuwa nazi haishindani na jiwe. Hata kama nazi na jiwe wana makosa, wakigongana nazi itapasuka na jiwe litaendelea kupasua nazi nyingine.