Mwenye ndoa ni mwanaume ikiwa kwa misingi ipi??Kwa sababu mwanamke hachagui mke, bali anachaguliwa. Pia mwanamke haoi bali anaolewa. Kumbuka kwa baadhi ya imani mwqnamume aweza kuoa mke zaidi ya mmoja na ikahesabika sahihi mbele ya jamii, so mwanamke akiwa msaidizi anatolewa kwao kuja kumjenge mwanamume ukoo bila kujali ana mtoto ama la.
Ndoa ni ya mwanamume sio ya mwanamke na mwanamume, get the facts straight first.
Hata akiwa na makosa, hilo ni jambo jingine, hoja ni vijana kujiepusha na single mothersKwahiyo huyo aliyemshawishi hana makosa??
Wabakaji walikpo tangu agano la kaleKwahiyo mwanaume kubaka ni sawa hata kama katengenezewa mazingira??
Mungu nimemuingiza wapi? Huo ndio uhalisia wenyewe, kwani uhalisia ni nini? Mimi nilipokataa kuwa kamwe sitaoa single mother, na nikatimiza, siyo uhalisia? Wanaume wengine wengi walipokataa hivyo visirani wakaoa wanawake watulivu wakazaa nao watoto, siyo uhalisia?Oohh sasa si ungesema tu tangu mwanzo kwamba huo ni mtazamo wako wewe na siyo uhalisia sasa unapomuingiza hadi Mungu kwenye haya maswala una maana gani?? Kuwa makini!!
Ikishatokea ndio tunasema akaolewe na virukanjia wenzake hukoHakuna anayependa ila ndiyo inatokea na hauwezi kubadilisha hilo pole sana
Hilo halibadilishi ukweli kwamba hata ninyi mnapokubali kushawishika pia mnakosea hivyo msijitetee kwamba eti mnashawishiwa wakati mmepewa uwezo wa kuvishinda vishawishi na vishawishi havina budi kuja sababu ndiyo vipimo vya imani na matendo ya mwanadamu hivyo wanawake makahaba wapo na wataendelea kuwepo ila swali ni je wewe unawezaje kuwakwepa au ndiyo utawaparamia halafu ukamuambie Mungu eti wanawake walinishawishi hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu hata Mungu naye atakuelewa??Biblia inasema aliyedanganywa ni mwanamke na sio mwanamume. Shetani alimdanganya mwanamke, mwanamke akamdangaya mwamume.
Hata leo shetani anamdanganya mwanamke ajiweke uchi, ajipambe kikahaba kisha mwanamke anamdanganya mwanamume.
Ndio maana tunawaonya mrudi kwenye mstari mtuokoe, hata wachungaji wengi wameangushwa na wanawake
Topic inahusu ndoa na single mothers. Wengi hapa tunakataa kisirani hicho na tunaasa wanetu na vizazi vyetu waepukane nacho kabisa.Inaonekana haujui binadamu walivyo wewe haya endelea kukariri tu
Na sisi tunaongelea chanzo cha hao single mothers mnaotaka wasiolewePia hapa siongelei dhambi ya zinaa, naongelea vijana kutokuoa single mothers. By the way kwa nini ukabadili ID toka Marianah!?
Sidhani kama kuna binadamu anayeweza kumtii mtu asiyempenda na sijui kama mlielewa hata tafsiri ya hilo andiko?? Aise kazi kweli kweli!!Jukumu la mwanamke si kupenda bali kutii, mwanamume ndiye mwenye kupenda. Sasa wanawake wa mwendo kasi wanajipa majukumu ya wanaume, matokeo yake ni kupotea.
Chanzo hakibadilishi kitu, akishakuwa single mother basi, ni nuksi hiyo.Na sisi tunaongelea chanzo cha hao single mothers mnaotaka wasiolewe
Kumbe ndiyo umejua leo?? Nimependa tu!!
Hafai kwako wewe ambaye ni binadamu kama yeye tu na siyo kwa Mungu aliyewaumba wewe na yeyeStay focused. Wanaume wajitetee au wasijitetee, haitabadilisha single mother awe kama wenzie waliotulia. Hafai ni hafai tu.
Akishakuwa single mother tayari ameondoka katika list ya 'binadamu kama mimi' kwa hiyo hafai kwangu. Ana wenzake anaofanana nao akawafuate hao wamuoe. Wakimkataa hata hao basi ndio keshadoda hivyo!Hafai kwako wewe ambaye ni binadamu kama yeye tu na siyo kwa Mungu aliyewaumba wewe na yeye
Yaani wewe ndiyo kabisa umeishiwa hoja naona sasa umeamua uanze kuropoka tu kama kichaa hivi uliona wapi tatizo linajadiliwa au linatatuliwa bila kuangalia chanzo??Chanzo hakibadilishi kitu, akishakuwa single mother basi, ni nuksi hiyo.
Kwahiyo tatizo tunalojadili hapa ni uwepo wa single mothers? Wewe ndiye uliyeishiwa hoja unaropoka.Yaani wewe ndiyo kabisa umeishiwa hoja naona sasa umeamua uanze kuropoka tu kama kichaa hivi uliona wapi tatizo linajadiliwa au linatatuliwa bila kuangalia chanzo??
Dude go back to school and get some knowledge about problem solving skills then after that you can come back here to argue again!!
Si kwangu tu, wengi hawataki single mother.Ndiyo hafai kwako wewe sasa kwani wewe ni nani hapa duniani??
Sio sawa, bali mwwnamke kutengeneza mazingira ni kujikaanga mwenyeweKwahiyo mwanaume kubaka ni sawa hata kama katengenezewa mazingira??
Tukichimbua chanzo cha single mothers na kukifanyia kazi basi itasaidia kupunguza uwepo wao na siyo eti kufurahia ongezekao lao halafu waje kunyanyapaliwaKwahiyo tatizo tunalojadili hapa ni uwepo wa single mothers? Wewe ndiye uliyeishiwa hoja unaropoka.
Linalojadiliwa ni kuwa single mother hafai kuolewa na wanaume wa kundi fulani limetajwa (wapya kwenye ndoa), hao wengine (wazee waliokwishaoa zamani, wagane, wenye watoto bila ndoa) tukasema ruksa.
Kumbe wewe unaamini ukichimbua chanzo cha single mothers ndipo utashawishi waliokuwa hawawataki wawakubali? Kwani kujua hicho chanzo kutaondoaje hizo kasoro walizonazo? Eti kujua kuwa chanzo cha kovu ni moto kutafuta hilo kovu? Kama mtu hataki mwenye kovu, hata ukimwambia kovu lilitokana na moto wa dhahabu, bado kovu litabaki na litaendelea kuleta hisia ileile kila linapoonekana.
Single mother wakaolewe na hao waliozaa nao, vinginevyo watulie walee watoto wao.
Uwezo wa kushinda wakati unamkalia uchi? Wanawake wajipambe kwa staha. Mkitii hilo utawasaidia sana wanaume walio wengi kuishinda tamaaKwahiyo mkuu wewe unadhani mwanaume kaumbwa na tamaa ila aje aitumie tamaa yake vizuri hapa duniani?? Kwamba hajapewa kabisa uwezo wa kuishinda hivyo hata akiitumia ni sawa tu si ndiyo??
Na wengi pia wanawataka,, sasa ninyi msiowataka mna ubora gani kuliko hao wanaowataka??Si kwangu tu, wengi hawataki single mother.