Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kulikuwa na points za msingi sana ulikuwa unazizungumza, ila hii ya sasa sio. Mliambiwa mzae muongezeke hata kwa uzinzi? Hebu toka kwenye mihemuko then tumia akili, kuna hoja unazo, lakini Futa hii. Karibu
 
Sio sawa, bali mwwnamke kutengeneza mazingira ni kujikaanga mwenyewe
Waambie na hao wanaume wanaotengenezewa mazingira na wanawake wayakwepe hayo mazingira kama ambavyo mnataka wanawake wakitongozwa na wanaume wakatae
 
Yaani kwanza kabisa haujajibu swali langu halafu pili kwahiyo hao wanaume wanaowaomba wanawake wao wawazalie kabla ya ndoa wakati wanajua siyo vizuri ndiyo wako sahihi na wanafaa kuwa waume wa ndoa si ndiyo??
Unadhani wanaume wote ni wacaha Mungu? Tofauti ni kuwa mwanamke kama ni mcha Mungu ama sio mcha Mungu akipata mimba nje ya ndoa kajiangamiza mwenyewe, hilo halina dini.
 
Tukichimbua chanzo cha single mothers na kukifanyia kazi basi itasaidia kupunguza uwepo wao na siyo eti kufurahia ongezekao lao halafu waje kunyanyapaliwa
Nimempa mwanafunzi mimba nafungwa miaka 30. je huyo mtoto nitampaje matunzo ikiwa baba yake nipo kororoni kwa miaka 30? Unafikiri hiki kifungo kitapunguza kesi za mimba kwa wanafunzi? Nipo nje mada ila tunaelekea huko huko kwa single mother na single father
 
Uwezo wa kushinda wakati unamkalia uchi? Wanawake wajipambe kwa staha. Mkitii hilo utawasaidia sana wanaume walio wengi kuishinda tamaa
Sasa ni andiko lipi linalosema wanawake ndiyo wawasaidie wanaume kuishinda tamaa yao?? Na nimeshakuambia kwamba vishawishi vipo na vitaendelea kuwepo sababu ndiyo vinavyopima imani na matendo ya wanadamu!!

Yaani ukisema eti wanawake waache kukaa uchi ni sawa na kusema Shetani aache kutujaribu wanadamu ili atupunguzie mzigo wa kutenda dhambi wakati Mungu ndiye kamruhusu lakini akatupa uwezo wa kumshinda ili kwamba kwenye hukumu kusiwe na watu watakaotoa visingizio vya kwamba eti shetani aliwapitia
 
Unadhani wanaume wote ni wacaha Mungu? Tofauti ni kuwa mwanamke kama ni mcha Mungu ama sio mcha Mungu akipata mimba nje ya ndoa kajiangamiza mwenyewe, hilo halina dini.
Basi kama ambavyo siyo wanaume wote ni wacha Mungu pia vile vile siyo wanawake wote ni wacha Mungu sasa msiwashutumu wanawake wasio wacha Mungu tu na kuwaacha wanaume wasio wacha Mungu kana kwamba kumcha Mungu ni jukumu la mwanamke tu na siyo mwanaume
 
Je ni wanaume wangapi wanawapa wanafunzi mimba na wanakubali kwa hiyari yao kutoa matunzo kwa watoto??
 
Je ni wanaume wangapi wanawapa wanafunzi mimba na wanakubali kwa hiyari yao kutoa matunzo kwa watoto??
Usipoijua thamani yako hakuna mtu atakayejua thamani yako. Kila mtu anapata raha kwenye ngono ila tambua anayeathirika sana kwenye ngono ni mwanamke. Ndiyo maana unaona jamii inawanyooshea kidole sana single mother ili kupunguza tatizo la wanawake kuwa single mother. Simaanishi kuwa mwanaume hana makosa naye pia anamakosa na yeye anapaswa kujilinda ila mwanamke anapaswa zaidi kujilinda. Siku hizi kupata bunye ni rahisi sana tofauti na zamani ila anayeathirika ni mwanamke. Mwanaume anapiga mimba anakimbia,mtoto anabaki kulelewa na mwanamke kwa manung'uniko makubwa. Kuwasema wanawake itasaidia sana kama ilivyokumpa mwanafunzi mimba ukafungwa miaka 30 jela. Ifike mahali wanawake muamke usizae na mtu usiyemjua na kama ikitokea ni kwa bahati mbaya ila hiyo mimba ipatikane mkiwa mnaishi wote na siyo mimba za Guest House au upo umepanga unaenda kupigwa mashine kwa jamaa. Kuna uzazi wa mpango upo, tumia vidonge na siyo upigwe mimba uachwe halafu uende kuandamana kwa makonda.
Wanaume tunatabia moja inayofanana. Tuna wanawake wa kufanyia mazoezi na wakuoa kwahiyo unatakiwa unapoingia kwenye mahusiano unatakiwa uangalie upo kweye upande gani wa kuolewa au mazoezi. Kama upo kwenye mazoezi unatakiwa ujilinde sana. Sasa wewe mwanamke unatoka na mume wa mtu, unategemea nini hapo?
Kiukweli mimi toka moyoni siwezi kuoa single mother au mwanamke anayemkumbuka ex wake. Usinishangae kila mtu anavigezo vyake katika kuoa. Ni sawa na mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi au mwenye kitambi. Dada yake au ndugu zake kuwa single mother siyo kigezo cha yeye kuoa single mother. NDOA NI YA MWANAUME
 
Unajisikia raha sana kuwanyooshea kidole na kuwahukumu wamama wasio na hatia.

Unafanya hivyo kwa sifa sana na supremacy ukitumia Biblia Ku justify matendo yako.

Unasahau unayemhukumu hapa ni mtoto anayemfanya huyu mwanamke kuitwa mama. Yesu anasema, 'waacheni watoto wadogo waje kwangu.. '. Do you know how kids from single parents feel from all the mocking and stigma their mothers face? And you are one of the bullies.

Imagine Joseph angemkataa Mariamu, Jinsi jamii ingemsema na kumtenga Mariamu kama single mother. Ila Mungu ni warehema na matendo yake ni makuu. Ukikaa mwenyewe, Omba sana uzao wako wa kike wasije kuwa disgraced kama wewe unavyofanya sasa.

Tuwaheshimu wazazi wote. Kama hupendelei kudate a single mom au single father(kama mimi) ni sawa. Ila sio sawa kushawishi wengine kufanya hivyo kwa kutumia negativity na pure hatred. That is not right at all.

Nihayo, tu.
 
Mgg3, Kwahiyo mwanaume akiwa na mwanamke wa kuoa na wa kufanyia mazoezi ni sawa si ndiyo??

Na mwanaume kuwa mwenye ndoa ndiyo kunampa haki ya kujihalalishia makosa si ndiyo??
 
Yaani kwanza kabisa haujajibu swali langu halafu pili kwahiyo hao wanaume wanaowaomba wanawake wao wawazalie kabla ya ndoa wakati wanajua siyo vizuri ndiyo wako sahihi na wanafaa kuwa waume wa ndoa si ndiyo??
Kuombwa hivyo ni kitu kimoja, kukubali ombi ni kitu kingine. Mwanamke anayekubali upuuzi huo hafai kuwa mke
 
Kama ilivyo hapo. Mwanamke anamzalia mumewe watoto ili kuendeleza ukoo
Kwahiyo hiyo sababu inampa mwanaume haki ya kujihalalishia makosa na kufanya maovu anavyojisiikia si ndiyo??
 
Na sisi tunaongelea chanzo cha hao single mothers mnaotaka wasiolewe

Kumbe ndiyo umejua leo?? Nimependa tu!!
Wewe ongelea chanzo ambacho kimsingi ni malezi mabovu ya binti. Ukija kushtuka wote mimba
 
Sidhani kama kuna binadamu anayeweza kumtii mtu asiyempenda na sijui kama mlielewa hata tafsiri ya hilo andiko?? Aise kazi kweli kweli!!
Tupe wewe tafsiri. Wewe mwanamke kujipa kuoenda ni mwanzo wa ukengeufu, ndio maana mnadanganywa kirahisi. Anayeoa ndiye ajuaye kupenda, si vinginevyo.
 
Sidhani kama kuna binadamu anayeweza kumtii mtu asiyempenda na sijui kama mlielewa hata tafsiri ya hilo andiko?? Aise kazi kweli kweli!!
Tupe wewe tafsiri. Wewe mwanamke kujipa kuoenda ni mwanzo wa ukengeufu, ndio maana mnadanganywa kirahisi. Anayeoa ndiye ajuaye kupenda, si vinginevyo.
 
Tupe wewe tafsiri. Wewe mwanamke kujipa kuoenda ni mwanzo wa ukengeufu, ndio maana mnadanganywa kirahisi. Anayeoa ndiye ajuaye kupenda, si vinginevyo.
Asiyejua maana haambiwi maana!!
 
Tupe wewe tafsiri. Wewe mwanamke kujipa kuoenda ni mwanzo wa ukengeufu, ndio maana mnadanganywa kirahisi. Anayeoa ndiye ajuaye kupenda, si vinginevyo.
Asiyejua maana haambiwi maana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…