Sasa mbona wanaume wengi leo hii wanachepuka kwa sababu ya kukosa staili za kikahaba (kutoka kwa wake zao) wanazopewa na michepuko yao??Mwanamume hata ukilala kama gogo atakojoa tu, na furaha yote ipo hapo, get the facts straight
Sasa kama hoja siyo kuolewa basi hata kwa wanaume pia hoja siyo kuoa maana ni kweli single fathers wanaoa lakini je ni sahihi??Kuolewa sio hoja kwani hakuna aliyesema single mother hawaolewi. Hoja ni kuwa wanaume wajue wwnaoa kitu gani, hivyo badili mentallity yako. Kulilia kuwa single mother sio sifa njema, kama ilivyo kumuoa.
Kwenye yale mambo mkuu,inabidi uwe muhuni tu.....hata kama unahubiri injili,injili weka pembeni kwanza.Tatizo ni pale unapooa mwanamke mzoefu wa mapenzi, hujui kapitia staili ngapi, mikunjo ya namna gani n.k. Utakuta kuna vidume kadhaa vilikuwa vinamkuna kwa staili tofauti, sasa wewe mmoja na show yako sio rahisi kukidhi kiu yake. Ni kosa kubwa kuoa mwanamke mwenye uzoefu na sex, utasaidiwa sana kumkata kiu.
Mkuu unaweza staili zipi?Sasa mbona wanaume wengi leo hii wanachepuka kwa sababu ya kukosa staili za kikahaba (kutoka kwa wake zao) wanazopewa na michepuko yao??
Kuna mwanaume aliwahi kuanzisha uzi akisema kwamba mwanamke hata awe na tabia nzuri kiasi gani kama siyo mbunifu kitandani mume atachepuka tu atamuacha na tabia zake na siyo yeye tu ni wanaume wengi wanasema hivyo!!
Na death certificate original umepewaEnzi zetu uchumba ilikuwa miaka 20 baada ya hapo ndio unaoa.
Mwakasege si Mchungaji wa kanisa lolote. Ni Mhubiri Mwalimu.Hivi unamzungumzia
Mwakasege yupi? Yule mhubiri? Namfahamu tu kwa jina la mchungaji Mwakasege. Je ndie unaemzungumzia?. Amefariki lini?
Hivi Mwakasege yule mchungaji mhubiri alifariki?Anaitwa lilian Kamazima aliwai kuwa miss Tanzania 2014 to 2016 yupo instagram anatumia jina ilo ilo kama unataka picha yake
Baharia haoi single maza hao tafuta jina jingine.Unaanzaje kumuoa singo maza??? Mabaharia mnakwama wapi? Njooni niwape connection ya mabinti bikra wanaosubiria upepo wa kisulisuli ili waolewe.
Usithubutu! Usithubutu! Usithubutu! Kuoa singo maza, ni maana hiyo.
So sad...Habari za Jumapili Wadau.
Joshua Christopher Mwakasege ni Mtoto wa Mwalimu wa Neno la Mungu, C. Mwakasege.
Ninawafahamu wote wawili na familia yao kwa ujumla vizuri tangu nikiwa mtoto mdogo.
Sijaagizwa kuyasema nitakayoyasema ILA nitakwenda kuandika yafuatayo kwakuwa pia Mwl. Mwakasege ni Mtu MUWAZI sana katika kitu / mambo yanayofundisha wengine. Amekuwa akitoa mifano mingi hata kuhusu alivyoanza uhusiano na mkewe wa sasa Diana.
Kijana wake alifariki ghafla October mwaka Jana, sasa ana mwaka kaburini.
SABABU YA KIFO CHAKE: Mengi yanasemwa, na mengine hayafahamiki na hata Mwl. Mwakasege alisema tu kuwa Mwanae amefariki ghafla. Ila kwakuwa kuna cha kujifunza nitaeleza kifupi sababu ya kifo chake.
Msomi Joshua Mwakasege alikuwa na Uhusiano na mwanamke mzuri, aliyekuwa na Mtoto. Mwanamke huyu (sitamtaja jina) aliwahi kuwa miss wa wilaya mojawapo hapa DSM. Walipendana sana na Joshua mpaka ikafikia mahali pa Joshua kumtambulisha rasmi kwa wazazi wake.
Mwl. Mwakasege hakuwahi kumkatalia Mwanae kumuoa binti mwenye mtoto hata siku moja, ila alimuuliza swali
''Unamfahamu vizuri binti unayetaka kumuoa'' ?
'' Unamfahamu aliyezaa nae'' ?
Mara zote majibu yalikuwa ndio na hakukuonekana na tatizo lolote.
Mwishoni Mzee mwakasege alimwambia kijana wake kuwa unapaswa kumwomba Mungu sana kuhusu mke wa kumuoa na tutaomba pamoja LAKINI, mwisho wa yote wewe ndiye unayemfahamu zaidi binti utakayemuoa, na hatuwezi kukuchagulia Mke.
Joshua Mwakasege alimpenda sana yule Mwanamke na walikuwa na malengo, alimpenda yule mtoto kama wakwake na kuamua kumsomesha, kumlisha na kumvisha na alikuwa anamwita ni Mwanae wa kwanza, wengine watafuata.
Pamoja na yote hayo, na baada ya kupita muda flani wa mahusiano, bila kutegemea yule mwanamke alisafiri kutoka DSM na kuja Arusha, kisha siku moja Joshua akiwa kazini alipata ujumbe kutoka kwa Mke wake (Ninasema hivyo kwakuwa walikwishaoana) ujumbe ulimwomba msamaha sana na mkewe akimwambia kuwa ameamua kurudiana na Baba wa mtoto wake.
Hii inamaana walikuwa katika mawasiliano na mahusiano bado.
Kilichomuua Joshua Mwakasege bila shaka ni Msongo wa mawazo ulipitiliza, Depression ingawa iliitwa shinikizo la damu.
USHAURI : Vijana wote wa kiume na wa kike, tuwe makini sana na watu tunaoanzisha nao mahusiano ya kuelekea kwenye Ndoa. Ni vizuri sana kuchunguza ikiwa wana uhusiano wa awali na wapenzi wao haswa waliochangia damu kuzaa mtoto/watoto.
Hata Mabinti pia mnapaswa kuwa makini sana katika hili.
Jumapili Njema.
Atakufa nae kwa mateso piaYule Mwanamke ana tamaa sana, na mama yake anamuunga mkono.
usilipe baya kwa bayaNafikiri kabla haujasema my answer was rude ungesoma kwanza comments zake juu yangu
Jamani,jamani,jamani yaani huyu kenge ndio mnamwita MZURI? wengine wamesema kabisa MZURI SANA?. Basi mimi nitakuwa siwajui mademu wakali. Kweli huyu ana sura pana ka ungo huyu ndio mkali?
Hebu nijuze vizuri. Yupo Mwakasege ni mhubiri,nafikiri anaishi Arusha. Ndio huyo amefariki? Picha yake hata Pm kama hapa haiwezekani. Nataka nijue kama ndio huyo ninaemfahamuMwakasege si Mchungaji wa kanisa lolote. Ni Mhubiri Mwalimu.
Hajafariki yupo hai na anaendelea na kazi.Hebu nijuze vizuri. Yupo Mwakasege ni mhubiri,nafikiri anaishi Arusha. Ndio huyo amefariki? Picha yake hata Pm kama hapa haiwezekani. Nataka nijue kama ndio huyo ninaemfahamu
Hivi unamzungumzia
Mwakasege yupi? Yule mhubiri? Namfahamu tu kwa jina la mchungaji Mwakasege. Je ndie unaemzungumzia?. Amefariki lini?