DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Kumbe kuna watu mnachukulia thread za humu very seriously kiasi cha kuzifanya reference ya maisha ya kwenye jamii.Sasa mbona wanaume wengi leo hii wanachepuka kwa sababu ya kukosa staili za kikahaba (kutoka kwa wake zao) wanazopewa na michepuko yao??
Kuna mwanaume aliwahi kuanzisha uzi akisema kwamba mwanamke hata awe na tabia nzuri kiasi gani kama siyo mbunifu kitandani mume atachepuka tu atamuacha na tabia zake na siyo yeye tu ni wanaume wengi wanasema hivyo!!
Sio watumu, sema wanapatikana kirahisi kuanzia kutengeneza mahusiano hadi mechi za kirafiki hakuna ratiba.Kuoa single maza inahitaji moyo wa chuma ila ndiyo hivyo ni watamu balaa.
Wanaume walioharibika akili, usisikilize hadithi za abunuwasi. Staili za kitandani zimelenga kumridhisha mwanamke zaidi kuliko mwanaume. Na aina ya wanawake hawa ni wale waliochezewa sana na kupata ujuzi hata usiokuwapo.Sasa mbona wanaume wengi leo hii wanachepuka kwa sababu ya kukosa staili za kikahaba (kutoka kwa wake zao) wanazopewa na michepuko yao??
Kuna mwanaume aliwahi kuanzisha uzi akisema kwamba mwanamke hata awe na tabia nzuri kiasi gani kama siyo mbunifu kitandani mume atachepuka tu atamuacha na tabia zake na siyo yeye tu ni wanaume wengi wanasema hivyo!!
Siwezi staili hata mojaMkuu unaweza staili zipi?
Oohh really??usilipe baya kwa baya
Soma tena sentensi yangu ya mwisho vizuri kwenye hiyo comment uliyoniquote!!Kumbe kuna watu mnachukulia thread za humu very seriously kiasi cha kuzifanya reference ya maisha ya kwenye jamii.
Aisee basi kama nawaona asilimia 80 ya wanaume wote duniani walivyoharibika akili maana karne hii ni mwanaume gani anayependa mwanamke anayekaa kama gogo kitandani (kwa mujibu wao)Wanaume walioharibika akili, usisikilize hadithi za abunuwasi. Staili za kitandani zimelenga kumridhisha mwanamke zaidi kuliko mwanaume. Na aina ya wanawake hawa ni wale waliochezewa sana na kupata ujuzi hata usiokuwapo.
Ndio maana mume akipata mke humtenda kwa utulivu kwani mke ni yule aliyetulia mwenye bikra yake hana makeke ya kitaa, asiyemjua mwanamume bado. Ukiona mwanamke analalamika kudai staili nyingi nyingi jua umeoa kahaba, ndivyo ilivyo kwa mwanamume pia. Akidai staili mpaka mnatazama na picha za ngono ujue kuna kasoro kichwani
Walientatein ujingaApumzike kwa amani!
Mama Mwakasege Kwenye mkutano wao nakumbuka alisisitiza tuwaombee sana watoto wetu wa kiume!
Watoto wa kiume wana mizigo mizito sana vifuani mwao, na hawana wa kumweleza kwa kuogopa kuonekana dhaifu!!
Aliongea kwa uchungu mnoo, ila nilielewa uchungu wake!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"mwalimu wenu ni kipofu". Alisikika mzee mmoja mwenye upara na busara zake
Wewe wasemakuoa single mother ni sawa na kununua gari bovu garage
Hapana.Soma tena sentensi yangu ya mwisho vizuri kwenye hiyo comment uliyoniquote!!
Mfano tuanze na wewe hapo ulipo unapenda mwanamke anayekaa kama gogo tu??
YeaaahOohh really??
sio mimi nasema bali mada letwa hapo juu yasemaWewe wasema
Kwenye semina ya Ndoa Mwakasege na Mke wake waliongea kimafumbo kuhusu kijana waoApumzike kwa amani!
Mama Mwakasege Kwenye mkutano wao nakumbuka alisisitiza tuwaombee sana watoto wetu wa kiume!
Watoto wa kiume wana mizigo mizito sana vifuani mwao, na hawana wa kumweleza kwa kuogopa kuonekana dhaifu!!
Aliongea kwa uchungu mnoo, ila nilielewa uchungu wake!
Apumzike kwa amani!
Mama Mwakasege Kwenye mkutano wao nakumbuka alisisitiza tuwaombee sana watoto wetu wa kiume!
Watoto wa kiume wana mizigo mizito sana vifuani mwao, na hawana wa kumweleza kwa kuogopa kuonekana dhaifu!!
Aliongea kwa uchungu mnoo, ila nilielewa uchungu wake!
Mtoto wake wa kiume anayeitwa Joshua ndio alifariki.Hebu nijuze vizuri. Yupo Mwakasege ni mhubiri,nafikiri anaishi Arusha. Ndio huyo amefariki? Picha yake hata Pm kama hapa haiwezekani. Nataka nijue kama ndio huyo ninaemfahamu
nimemkuta Instragam na picha nyingi yupo na celebrities kina Kigosi na hakuna hata moja na J. MwakasegeAnaitwa lilian Kamazima aliwai kuwa miss Tanzania 2014 to 2016 yupo instagram anatumia jina ilo ilo kama unataka picha yake