Ila kitu nilichogundua, ku date na singo maza ni raha sana. Kwanza, hua hawana shobo na maringo ya kitoto toto na kujisikia kama vidada vya chuo au vibinti vya geti. Yeye akishakuelewa ni basi we ukitaka mzigo anytime hawana longolongo. Pia wengi hua hawana mizinga ya ovyo ovyo na ikitokea anakupiga mzinga basi ujue ana ishu ya maana na sio eti ameona jinzi au pochi mpya anataka akanunue. Wengi pia hawapendi starehe au kunywa sana pombe, klabu nk maana mawazo yao hua kwa mtoto. Kiufupi wengi wanajielewa