Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

We are never a priority!!!. Tuki act tofauti na sisi kutokana na changamoto hiyo, tunaonekana kama wanaume tusiojali. Zipi ni njia za kukabiliana na changamoto hii kwa vijana chini ya umri wa miaka 35 (close to 30): Je ni kuachana na wanawake wa aina hii au kuna namna ya kuendeleza uhusiano wenye rutuba?

Mkuu uzuri wao hawana ghalama hao kama hivi vidogo vidogo full usumbufu
 
Nasikia kuna masilicon life size robots yametengenezwa, ngoja nizitafute ili waniprogramie la kwangu, maana kunyanyapaliwa kumezidi! LOL
Jamani huko mbali sana unakoenda, karibu kwa franky uusahau unyanyapaa
 
We are never a priority!!!. Tuki act tofauti na sisi kutokana na changamoto hiyo, tunaonekana kama wanaume tusiojali. Zipi ni njia za kukabiliana na changamoto hii kwa vijana chini ya umri wa miaka 35 (close to 30): Je ni kuachana na wanawake wa aina hii au kuna namna ya kuendeleza uhusiano wenye rutuba?

sharti ukishayavulia nguo maji wewe ya koge..
 
We ujawajulia tu Single Mums! Jifanye unampenda yule mtoto! Weeeeeeee! Atakupendaje hai ku sweep the ocean for you!

1.Rule LOVE THE KID
2.Rule Muunge mkono kuwa the baby dady ni ingrorious batsard! Ila yeye huyo mama hana makosa na si wakulaumiwa!
3.Rule muahidi Mtoto wenu atazaliwa ndani ya ndoa!

Hapo utapiga hadi basi!
@lara 1, you r always "midfield player"
 
Mpwa bana always unaangalia pa kutokea.. Vizuri gharama mpwa

[h=5]
[/h]

Unajikamatia mpododo kama huu wala hauna ghalama na hamsumbuani sijui saloon wewe nikukata kiu tu
 
Umeona eeh; mara tunaambiwa tuko vulnerable as if tunapick tu kila kinachosimamisha. LOL

Hahahah hivi aliye desparate ambaye anaona age inakwenda hajaolewa na hana mtoto na yule ambaye alishakuwa in relationship na kuwa na mtoto (anayeelewa machungu ya relationships kiukweli) nani atakayekuwa vulnerable? Mwanamke makini ambaye anatake time kuanalyze mahusiano kiundani ili kujua effect yake kwake na mwanae/wanae hawezipick kila kitu ilimradi kinasimamisha aisee!! Nani anataka kuumizwa kila wakati? Unless awe amepoteza direction adate kila apitae!
 
Jamani huko mbali sana unakoenda, karibu kwa franky uusahau unyanyapaa

Franky anaweza asininyanyapae lkn vipi kuhusu mama yake, dada zake, rafiki zake na watu wanaomzunguka. Bora lirobot tu.
 
Comrade kuna faida lukuki za kudate na kuoa single mothers
1. Sio mgumba mpaka hapo, si ana mtoto(wa)
2. Wanawahi kukojoa kwenye mgegedano, according to someguy aliweka hiyo post hapa kwamba wanawake waliozaa wanawahi kucam kuliko ambao hawajazaa.
3. Tayari anajua majukumu ya kulea mtoto, so cv yake inamuuza full maxperience
Nyingine subiri nikafungue manuscript yangu nishasahau....am jus sayin'

I like your way of thinking.

Ningekuwa situmii mchina ningekugongea maLIKE.
 


Unajikamatia mpododo kama huu wala hauna ghalama na hamsumbuani sijui saloon wewe nikukata kiu tu
hahhahaha toka ununue Galaxy walai mipododo itakoma
 
Franky anaweza asininyanyapae lkn vipi kuhusu mama yake, dada zake, rafiki zake na watu wanaomzunguka. Bora lirobot tu.
Hapo ndo mnapokosea wanawake, anaekuoa franky au dadake? Wewe unamsikiliza franky sababu yeye ndo kila kitu kwako

 
Baelezee Mdogo wangu, hasa huyo babu yako Dark City anayetuona kama scrapper. Tena mkumbushe kuhusu wale 'mabinti' wanaotoa mimba kila kukicha ili kumaintain 'usichana'.
Hahahah hivi aliye desparate ambaye anaona age inakwenda hajaolewa na hana mtoto na yule ambaye alishakuwa in relationship na kuwa na mtoto (anayeelewa machungu ya relationships kiukweli) nani atakayekuwa vulnerable? Mwanamke makini ambaye anatake time kuanalyze mahusiano kiundani ili kujua effect yake kwake na mwanae/wanae hawezipick kila kitu ilimradi kinasimamisha aisee!! Nani anataka kuumizwa kila wakati? Unless awe amepoteza direction adate kila apitae!
 
Last edited by a moderator:
Kijana wa miaka 30 akadate mdada wa miaka 29 mwenye mtoto wa miaka 3, makuzi yenu ya Mwaka 1947 yanasemaje????

Frankly speaaking, mtu ambaye hajao au kuzaa anachukuliwa kwamba ni mtoto....ndiyo maana walitushauri kuwa watoto wacheze pamoja na watoto nao vile vile....

Babu DC!!
 
ARK City, Kwanini unaona/dhani kwamba 'single parents' wanahitaji SYMPATHY? Kuwa na mtoto bila kuwa na mzazi mwenza kumekuwa ugonjwa?

As a 'once' single mother sijawahi hisi kwamba nahitaji sympathy toka kwa mtu yeyote yule. I take pride in who I am as a mother, be it niko single au la.
 
Hapo ndo mnapokosea wanawake, anaekuoa franky au dadake? Wewe unamsikiliza franky sababu yeye ndo kila kitu kwako


Kwa African family rafiki, wangu ndio ukweli mchungu.
 
Huo sio ushauri mzuri.Huwezi kuwa na mahusiano na mtu mwenye watoto,halafu wewe ndio ujifanye kuwa baba wa hao watoto.fikiria mnapokorofishana na kuachana.Atakae kuja nae awe kama baba wa watoto.Huko ni kuwaharibu watoto kisaikolojia.No wonder leo hii taifa linakuwa na watu wa ajabu ajabu.Msingi wa kuwa mume au mke ni kuwa na familia itakayotunzwa pamoja.Once kama ikatokea mparanganyiko wa ama mmoja wa wanandoa kufariki au kutengana,mahusiano yoyote yatakayozaliwa, hayapaswi kuwa ya wazi kwa watoto.Kimsingi yanatakiwa kuwa ya siri.Lakini siku hizi yanawekwa wazi ez if ni jambo zuri.

Mawazo yako ni ya giza kuliko la Ngeleja.
 
Frankly speaaking, mtu ambaye hajao au kuzaa anachukuliwa kwamba ni mtoto....ndiyo maana walitushauri kuwa watoto wacheze pamoja na watoto nao vile vile....

Babu DC!!

Sasa hapo Babu unakuta mdada ana 38+ ana date na mvulana wa 27 kwa hiyo hawa bado watoto kwa vile hawajaoana?
 
Back
Top Bottom