Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mother wanazidi Kwa sababu ya Kuzidi kwa Kule kujimwambafy wanawake na Kuendekeza Ufeminine kuiga wazungu..

Wazungu wao washazoea Kuwa masingle maza na wala hawana shida ila sisi Tunaiga na ndo maana tunapotea..
Chanzo kikubwa ni Ufeminine Kwishaaa
Hao nao wapo, lakini ukitazama vizuri, hayo nayo yanaanzia majumbani kwao walikozaliwa au lelewa.
 
Hata hospitalini idadi ya mashetani huzaliwa wengi ambao ni wanawake na malaika wachache wanaume, ndio maana hata mzazi akipata mtoto wa kiume hua na furaha Sana Kuliko kuzaa mtoto wa kike ambaye anajua atakua malaya aliyekubuhu
MUNGU akurahemu
Kuna siku utatamani kumeza ulichokiandika hapa.....ikumbuke hii siku na ulichokiandika
 
nafikiri nikutokana na kiburi kwa vijana hasa mabinti pia ongezeko la makuwadi katika mahusiano pia huchangia
 
Ndio maana maandiko yanasema mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe , means wanawake ni wapumbavu wanaoishi duniani, bible na quran haijatambua mwanamke kama binadamu imetambua kama kiumbe Tu kama walivo wanyama wengine
 
Mwanamke unakubali vipi kupigwa miti na mtu ambaye sio mumewe?
Tena anakubali kutombwa kavu siku za hatari

Kila siku nasema na narudia tena

Single maza ni mwanamke mjinga sana:

●KWANZA, alikubali kutiwa mimba na mwanaume ambaye sio mume wake

●PILI, ujinga mwingine wa single maza ni kumchagua irresponsible man (mwanaume ambaye hayuko tayari kutimiza majukumu yake) amtie mimba

Single maza ni laana
 
Wanaume kukwepa majukumu

Pia wanaume ni wachache na hao hao wachache Kuna mashoga, kataa ndoa, kimbilia mashangazi yaan uchache umegeuka adimu

Pia njaa haijahi kumpendeza mtu, umeshawakuta watoto wa wabunge, maafisa waandamizi wakiwa single Maza?
Huo ni ukosefu wa maadili, hauanzii hewani tu.

Binaadam uelewa wetu unatokana na tunayoyaona, tunayoyasikia, tunayoyanusa, tunayoyala, tunayoyashika.

Hayo ndiyo hutujengea sense yetu ya sita.

Tafiti zinaonesha "usilolijuwa ni usiku wa kiza".

Mtoto hafundishwi, huiga.
 
Back
Top Bottom