Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Siwabezi ila natamani mabinti wapanue ubongo.

Ubaya hawaoni mbali wao wanangakia sasa tu, ila angalia marekani au kama wewe ni mpenzi wa crime and investigation utaona athari ya watt wanaolelewa na mzazi mmoja maana matendo yao yana athiri jamii nzima
 
Ubaya hawaoni mbali wao wanangakia sasa tu, ila angalia marekani au kama wewe ni mpenzi wa crime and investigation utaona athari ya watt wanaolelewa na mzazi mmoja maana matendo yao yana athiri jamii nzima
Kweli. Maamuzi hata ya ugaidi ni rahisi.
 
Samahani
Mbona we hujamtaja espy,sky,madam s,madam B, demi, kapeace,joanah ,husna na wengine weeengi. Yeye alitoa mfano kama wewe ulivyotoa Mkuu!!! Hiyo dhana ya chuki na makundi sii nzuri kabisa. Unawezaje mchukia usiyemjua jamani!!!
Hahahahahhhh i love you my dear Sakayo
 
Hilo ni Janga kubwa sana Europe.wanawake wana powersaana huku ndio chanzo cha ndoa kutodumu,hasa kwa hawamiaji duu ni balaaa.
 
Je ,hii ni dalili kuwa kuna ongezeko kubwa la single mothers ????
 

Attachments

  • 1511449107392.png
    91.7 KB · Views: 33
Tatizo binadamu amekengeuka misingi ya asili ya binadamu,watu wakirudi kwenye dini za asili,uislamu ni hakika hili tatizo litaisha!Japo wanawake kwa sasa wamekuwa wabnafsi kwa kiwango ambacho ulimwengu haujawahi kushuhudia!
 
Hahaaa. Hapo chacha.

Hawajui ni sehemu ya maisha tu hiyo na sidhani kama kuna mwanamke ambaye amependa awe hivyo.
Kukiwa na single mothers lazima kuwe na single fathers pia! Hakuna upande unaostahili kulaumiwa/kusifiwa.... ndo maana wanaitwa single parents which includes both father and mother!

Besides, kichwa cha habari kinasema wamekuwa tishio lakini context haioneshi ni tishio kwa namna gani!
 
Acha kutetea mkuu
 
Baada ya kuchoshwa na mahusiano na hivi vibinti vidogo dogo maarufu kama sister duu, basi nikaona ebu ngoja nijilipue kwa single mother nione na wao wanakuaga na ladha gani.

Basi juzi kati nikiwa nimepiga balimi extra zangu, kuna single mother flani huwa namnyemelea nikamuibukia gheto kwake tukapiga story mingi sana, akanikarangazia mahanjumati nikala baadae nikasepa zangu gheto kwangu.

Sasa baada ya siku chache akawa kaingia laini na ndio ukawa mwanzo wa safari yetu ya mahusiano na obviously nimegundua haya kutoka kwa hawa single mother;
1.Wanajua kucare sana.
2.Ni wanyenyekevu sana
3.Wana mapenzi ya dhati
4.Hawaombi pesa kama hawa masister duu
5.Wanajua thamani ya mwanaume
6.Wengi wao wameokoka
7.Wengi wao ni wasafi
8.Wengi wao wanatafuta ndoa
9.Baadhi yao wanandekeza kwenda kwa waganga ili kupata waume wa kuwaoa.
10.Baadhi sio wachoyo wa papuchi
 
Acha fix zako bhana ww umejuaje kuwa ni wengi wao ilhali umemchukua huyo mmoja au umetembea na wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…