Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

unaanzaje kuoa oil chafu asee?
Tokea vita ya kagera iishe
Tokea lini?
Wazee wa kupasha kiporo
Wengine huma ukute mama zao waliwazaa wakiwa single maza then wanajifanya kuwasnich ma single maza, masingle maza popote mlipo saluti kwenu.
Nimeelewa ULITOSWA NA SINGLE MAZA
embu njoo tu huku upunguze matatizo

1. Story: Money Penny ni nani lakini?!

2. USHAURI: UKIMTUKANA MTU SASA HIVI JELA MIEZI 6...
 
Hivi kwa mfano midume gwambegu ingekuwa inazaa dunia hii ingekuwaje jamani. Fikiria dume linaosha rungu kwenye visima mia linatamani kuoa bikra. Akili ya wapi hii....!
 
 
Sio wote ! Au anamtegemea kwa kila kitu daaah [emoji23] ukimtegemea mtu na hauna kitu mbaya sana ,unaeza omba ruhusa mbaka ya kwenda maliwato.[emoji276]
 
Hivi kwa mfano midume gwambegu ingekuwa inazaa dunia hii ingekuwaje jamani. Fikiria dume linaosha rungu kwenye visima mia linatamani kuoa bikra. Akili ya wapi hii....!
Sio wote ! Au anamtegemea kwa kila kitu daaah [emoji23] ukimtegemea mtu na hauna kitu mbaya sana ,unaeza omba ruhusa mbaka ya kwenda maliwato.[emoji276]
Mkimaliza mje na huku mpunguze matatizo

1. Story: Money Penny ni nani lakini?!

2. USHAURI: UKIMTUKANA MTU SASA HIVI JELA MIEZI 6...

3. USHAURI: SEMA JINA LANGU UKIWA UNANIGEGEDA...
 
Hahahah wanaume kinawaumaa si mchezo... Mnaona inavokera ku.tombewa ehh...nyie si wanaume bana komaeni navyo kiume...wanawake mbna huwa tunavumilia usaliti wenu?!
Shida inakuja kweny mimba mama yangu. Ukigongwa na nikajua nikakusamehe halafu baada ya siku ukashika mimba si ndiyo kidonda na kutoelewana kunaanzia hapo. Unafikiri nitakubali kuwa hiyo ni mimba yangu? Bora tuachane tu km mtoto ni wangu atanitafuta akikua.
 
Km mimba hamna ruksa sio?.
 
Km mimba hamna ruksa sio?.

Hapana. Huwezi kuruhusiwa. Naandika tu lkn haya mambo huwa nayaogopa sana. Nilishawahi kuchepuka lkn duh utafikiri umebeba begi la madawa ya kulevya halafu unapishana na maaskari wapo kweny doria. Ni hatari sana
Nakumbuka nilienda kuoga simu nimeacha ndani , ikaita duh! Nilitamani nitoke na mapovu kumbe ilikuwa simu kutoka mama yangu mzazi. Kuchepuka ni hatari sana
*unaishi kwa wasi wasi sana
*Unakuwa muongo sana kupitiliza
 
Habari zenu wakuu?

Nimesikia Kituo kimoja cha Radio kikitangaza kuhusu akina mama wanaolea na kutunza watoto pasipo msaada wa wazazi wa kiume.

Akina mama hawa hujulikana kwa jina la Kiingereza " SINGLE MOTHERS". Kwa sasa idadi ya Single mothers inazidi kuongezeka mijini na vijijini.
Kuongezeka kwa Kundi hili kunatokana na nini?

1: Wanaume wanaogopa kuoa na kutunza familia?

2: Wanawake wanashindwa kutunza ndoa zao?

3: Wanawake ( vijana) wanapenda kuzaa na wanaume wenye ndoa zao?

4: Talaka zimekuwa nyingi?

# Demiss, Bujibuji,Thad, Kichwa kichafu,Mzizi Mkavu,.Maserati.Mwifwa,Saint Ivuga,Chaga one, Mshana Jr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…