ronnymsaki
Member
- Feb 23, 2017
- 50
- 30
Mtoto anabaki na wala sio mapenz mwenye kubakiza mapenz ni mwanamke asiejielewaAisee kuachana ni ngumu sana. Mtu akishakuzalia mtoto mnaachanaje? Kwanza hata aliyemuoa anashindwa kupita nae mbele ya mzazi mwenzie anajisikia vibaya.