Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hakuna uhusiano wowote kati ya urijali na kuoa single mother, ila ukifikiria kwa makini na kiundani zaidi kuoa single mother (Msimbe) ni changamoto kubwa sana, ila kama mtoto hamjui baba yake wala hajawahi kumwona na wala hakuna connection yyte kati yao unaweza kumwoa.
 

MCHAGUA NAZI HUANGUKIA KOROMA... ANGALIA USIRUKE MKOJO UKAKANYAGA MAVI
 
Yap ni chanagamoto kubwa sana,sasa hawa viumbe tukiwaambia huwa wanachukulia kama kuoa single mother ni kitu kirahisi tu
 
Umeandika vizur sana,pia nimeelewa bora men watakuwa wameelewa mara utasikia sioi asiye bikra wkt kipind yupo kifuan analia ovyo na maneno matamu baby nakupenda mara ni ww tu mwishoe anakuacha.Wanaume wanaodai wanataka kuona bikra na wasio single mother sitaki hata kuwasikia ni wagumu ndio wanahusika Kutoa bikra na kuyeyuka
 
Kati ya Single mothers na habitual abortionists,wapi bora?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…