Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Dah mkuu umenichekesha sana 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
😀 😀 😀 😀 😀 😀 mkuu unajua kujipa credit sana
 
Heshima kwenu. Ndugu yenu leo nimekutana na single mother halafu nikaona kama nimemuelewa sana tu. Ana mtoto wa miaka 9. Ni mpole na mkarimu sana. Nimepiga nae story akanambia yeye ni single mother. Hili swali umeniuliza mara 3 ili kupata uhakika. Maana lugha ya malkia haikawii kukudanganya kuwa umesikia hivi kumbe anamaanisha kitu ingine.

Ana elimu kubwa tu. Ni mkufunzi wa chuo kikuu huko kwao. Mstaarabu sana. Sijawahi kufikiria kuoa single mother ila kwa huyu kama nimenasa tunduni vile. Najihisi kumpenda sana. Wadau wazoefu, je single mother wa nje ya bara la Afrika tabia zao zinafanana na za wa huku kwetu Afrika au bongo?
 
Mkuu asante kwa ushauri. Sipo kwenye kundi la ganda la ndizi mimi mtafutaji pia. Ila sitaki kula na kusepa nataka nichukue jumla.
Mkuu upo na passport...

Ila hakikisha mnacheki afya kabla hujaloweka...

Maana sisi wanaume tukiona papuchi tunaweweseka sana....
 
Mkuu upo na passport...

Ila hakikisha mnacheki afya kabla hujaloweka...

Maana sisi wanaume tukiona papuchi tunaweweseka sana....
Mkuu una kusudia nini kuuliza kama nina passport?

Hilo la afya ni muhimu sana mkuu pia nikushukuru kwa kunikumbusha. Kiukweli sikuliwaza hili.
 
Mkuu jiandae kwa Safari ya kwenda nje ya Bara la Africa .
 
Hawana shida ni mwanamke kama wengine, tatizo ni moja tu, baba mtoto wake akija kusalimia mwanae uwe mpole
 
Achana nae kwa ushauri wangu, kwa maana unaenda kuwa mfanyakaz wa ndani, for my experience, niliwah kupelekwa huko.
Mkuu kuwa mfanyakazi wa ndani tena. Hili umelipimaje labda. Umenitisha sana
 
Mnawasemaga sana single mothers au kwa kua huyo kidogo umeona kuna rutuba...



Cc: mahondaw
Hapana mkuu, mimi sifuati rutuba ila moyo wangu kama umeshindwa kutekeleza lile jukumu lake la msingi. Labda macho yamenidanganya, hebu ngoja niendelee kumtazama kwa jicho la 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…