Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ni mjinga mbele ya mwanamke ila kiujumla ana uelewa mzuri kimaisha na kielimu ana bachelor na ni mwajiriwa wa serikali.
Pole sasa nyie atawashauri nini kuhusu maisha ya ndoa kama upupu tu
 
So ndio hapo sasa...kama anamapenzi na ex amchane mkaka wa watu..sio kumtesa bana
Huyo ni kahaba, bado wanapendana kuachana hawawezi, yeye atafute tu mwingine, hivi unamme ka ex kweli katakusogelea jamani
 
Huyo kaka yako atakuwa ni "kaka wa Dar" .... + marioo , na wewe mleta uzi ni Dogo wa Dar.
Nyumba ni ya mwanamke kwa nini umpangie masherti km hata pango hulipi?
Umesema alioa miaka mitano iliyopita lakini hawajafunga ndoa... what does that supposed to mean!

Ushauri : mwambie/ au km ni wewe , pambana na hali yako.... huyo mwanamke anarudisha mahusiano taratibu , + msipende miteremko.
 
Aisee huyoo jamaa yako naee itakuwa Kaolewaa hapoo maana Hawezi Ogopaaa kwenda kwake Eti kisaa kuna mwanaumee hapoo kwake Anazinguaaa Sanaa..! Labda kama hiyo nyumba ni ya mwanamke au mwanamke ndo analipa Kodi... MPE pole Sana maana ana ubwegee sanaa
 
Duuh mtu anajilia vitu vyake kiulaiiini. Huyo kaka ako anaonekana boya sana yn mpk m'ume mwenzie anakuja kulala pale alfu lenyew linapewa taarifa linaishia kuwaza na kulewa tu, duuh anachokitafuta kaka ako atakipata mwambie aendelee hivyo hivyo!! Watu wameshazaa inaonekana kbsa bado wanapendana yeye anamng'ang'ania m'mke wa nn?! Kwan wameisha?!
 
Habarini watu wa Mungu

Utangulizi:
Kuna kaka yangu alioa (miaka kama mitano iliyopita) mwanamke aliyezaa na mwanaume tofauti na yeye hawajafunga ndoa na pia hawaishi pamoja kutokana na mambo ya kazi kwa pande zote mbili walishatambulishana kwa wazazi pande zote mbili na mahusiano yao ni ya uwazi na jamii inajua.

Pia mwanamke anaishi na mtoto aliyezaa na mwanaume kabla hajaanza kuishi na kaka na huyo mtoto anasoma darasa la 2 sasa(7yrs) kawaida kaka huenda kwa huyo mke kila ijumaa na kurudi jumapili jioni au jumatatu asubuhi sana na kupitiliza kazini kwake.

Tatizo lilipo
Ni kwamba mpaka leo mwanamke (shemeji) anawasiliana na mzazi wa mtoto wake (akiulizwa husema anawasiliana nae kwa sababu ya mtoto na kutuma matumizi na sio kimapenzi), na mara nyingine huja kumwona mwanae anapopata nafasi na kila anapokuja hamshirikishi kaka na akimuuliza hujibu tu alikuja bila taarifa kumwona mwanae na kwasababu anaishi mikoa ya mbali lazima alale hata siku 2 au 3 na akimuuliza analalaje hapo na ataaminije kuwa hawafanyi mapenzi? shemeji husema analala chumba cha housegirl na yeye analala na h/g.

Nimeandika hivi kwa sababu bro hii wiki hajaenda kwa mke kwa sababu kasikia yupo mzazi mwenzie na mke wake, na anakosaga sana amani, wikiendi yote kaishia kulewa tu mpaka sasa mwanaume bado yupo na kaka akitaka kuongea na mwanamke hana shida anaongea nae kwa uhuru lakini mi naona ni maigizo.

Kaniomba jana ushauri na anampenda kweli, nimeshindwa kutoa jibu ila nimemwambia amwambie mwanamke ampeleke mtoto kwa baba yake ili hiyo shida iishe kasema alishamwambia lakini shemeji anadai mtoto wake hawezi kuishi kwa mama wa kambo na kaka mpaka sasa hajazaa nae.

Naombeni pia mawazo yenu, hali ya kaka sio nzuri kwa sasa

(Hanaga mpango na mitandao ya kijamii zaidi ya whatsapp so naamini hawezi kuona huu uzi).
Mwambie bro hakuna mapenzi hapo, kwa kuwa hawajaoana aachane nae tu. Hiyo stress sio
 
Mi jambo hill kiduchu linitokee kqa ushari Afanye maamuzi magumu kupita kiasi kama ya Low asa awaite wote aseme kikomandoo kuwa kuna nn kati yenu kama mnapendana piteni na mambo yenu nitafute mke mpya semeni ukweli akae kijemedari
Cn lingine
 
Kwanza inaonesha brow wako hamkizi kimatumizi huyo demu la
Mcng hapo brow wako alipe kodi ya nyumba ya huyo.mchumba wake ndie amuweke misimamo
 
Huyo kaka yako naye kweli mzigo, yaani hapo anakosaje kuchukua maamuzi, na kama hana mtoto naye na pia ndoa hakuna anasubuhi nini hapo sasa, achape lapa mbele atapata mwanamke mwenye kujielewa
 
Sasa kaka yako inabid aache uzwazwa amuwekee mipaka kama anataka kumuona angalau hata mara 1 baada ya miez miwil kama hatak achukue mtoto na mamaake au amchukue mtoto wake hyo hv ww na kaka yako hamtumii akil yan et mtu na x wake walale nyumba moja wasifanye kitu??kaka yako badala ya kulewa amuekee mashart hyo shemej yako akishindwa aachane nae
 
Hapo jamaa anatakiwa aendelee na maisha yake tu, inaonekana kupenda kwa kaka yako kumegeuka fimbo kwa huyo bidada
 
Kwa kuwa wewe ni KE wacha niComment...

Kwa hiyo hapo unakubali kwamba Single mother hawaaminiki na hawastahili kuolewa mpaka sasa kwa mtazamo wetu sisi wanaume?

Binafsi sioi single mother hata kama mumewe kafariki, maana anaweza kutembea na shemeji yake kisa kumjulia hali mtoto wa marehemu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu
 
Back
Top Bottom