Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Naongezea huo mstari wa mwisho...Mpe pole kaka ako na umwambie pombe sio suluuhu
Aongee na mwanamke wake juu ya hiyo tabia..tena aongee akiwa anamaanisha maana wanawake akili zetu tunazijuaga wenyewe hasa kama hatujitambui
Muda ufike wanawake tuache endekeza wanaume tuliozaa nao jamani..kama umeamua kumove on ...move on sio kuumiza mtoto wa mwanamke mwenzio kwa kwa kisingizio cha mnalea mtoto na mzazi mwenzio
Kama mnalea mtoto na mzazi mwenzio ni heri mkarudiana kabisa ili mlee vizuri na sio kuleteana wenge