Mimi nawapenda sana single mothers coz hawana mapozi, siyo ghali kuwatunza na mengineyo mengi. Kama wewe pia ni mpenzi na hawa wadada fanya jambo moja dogo sana utakuja kuniambia.
Fanya urafiki nae wa kawaida for few days, unaonesha interest ya kumjali mtoto wake Mara zote. Cheza na huyo mtoto, mletee vizawadi kama chocolate na icecream, piga simu mwambie nataka kuongea na mwanangu.
Single mothers wengi furaha yao ipo kwa watoto wao so when you make her child happy, ukitupa kete majibu atakayokupa yatakuwa mazuri. Nimefanya kwa single mothers wengi, wengine nilikuwa sina hisia nao lakini nilitaka tu kupima kama hii mbinu inafanya kazi. It works perfectly.
NB: FANYA KWA UMPENDAE