Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mimi nawapenda sana single mothers coz hawana mapozi, siyo ghali kuwatunza na mengineyo mengi. Kama wewe pia ni mpenzi na hawa wadada fanya jambo moja dogo sana utakuja kuniambia.

Fanya urafiki nae wa kawaida for few days, unaonesha interest ya kumjali mtoto wake Mara zote. Cheza na huyo mtoto, mletee vizawadi kama chocolate na icecream, piga simu mwambie nataka kuongea na mwanangu.

Single mothers wengi furaha yao ipo kwa watoto wao so when you make her child happy, ukitupa kete majibu atakayokupa yatakuwa mazuri. Nimefanya kwa single mothers wengi, wengine nilikuwa sina hisia nao lakini nilitaka tu kupima kama hii mbinu inafanya kazi. It works perfectly.

NB: FANYA KWA UMPENDAE
 
aaag mwanamke mtu hatari sana,wanajileta tu,utaskia uko na nani?unafanya nini Maswali haya ukiulizwa na mwanamke mara mbili tatu ujue kakutaka
 
Wanajua kuganda, uwape na mbinu za kuwaacha...
Kama una ndugu au mtoto wa kike nae yatamkuta, kuwa muangalifu
 
hahahahahahahahahah wanakuwaga na hasira na wanaume hao asee hapana anaweza kukutowa kafara eti

mimi nimewala ma single mother pale tu walipotaka wenyewe ila sio kumfwatilia na maigizo kibao wanakuwaga na wehu flan
 
Back
Top Bottom