Gololi One
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 576
- 365
Acha woga wa majukumu wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashukuru brother lakin unadhani kwanini kuna wimbi kubwa la single motherCha kwanza na kikubwa ni wewe kuchunguza sababu kwanini huyo mwanamke amekuwa single mother,kama mwanaume alikuwa ndiyo sababu ya yy kuwa hivyo basi ukiona tabia zake zinafaa hakuna tatizo lolote maana siyo kwamba mwanamke single mother ni mcharuko. Ila kama yeye ndiyo chanzo kwa tabia zake ina maana hata wewe pia atakusumbua. Ila wengi wao wanajitambua na wanajua umuhimu wa kuwa na mtu na kutulia nae.
exactly, this is an insporational words, cha msingi asi judge kitabu by looking its cover, but he should go deep and determine to what extenr that book is better or badWasiwasi wako tuuu tena kuna baadhi ya wanawake wakisha zaa ndo wanakua na akili zaidiaana anajua nikizingua naachwa na ntaachwa hadi Lini na watoto anatulia maisha enyewe ya utawala huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hehehehe unachosema kinaakisi uhalisiaTafuta wa primary akimaliza tu la saba weka ndani. ukizubaa tu utamuona na katumbo.
ndiyo lazima ujue sababu ya kuachana basi..wasiwasi wangu mkubwa ni kama ataamua kupasha kiporo
majukumu sio ishu sasa mtoto akianza kummiss babake mzazi ndio ishuAcha woga wa majukumu wewe.
Ya nini kupoteza muda kufanya research wakati wanawake wasio na watoto wapo dahaliCha kwanza na kikubwa ni wewe kuchunguza sababu kwanini huyo mwanamke amekuwa single mother,kama mwanaume alikuwa ndiyo sababu ya yy kuwa hivyo basi ukiona tabia zake zinafaa hakuna tatizo lolote maana siyo kwamba mwanamke single mother ni mcharuko. Ila kama yeye ndiyo chanzo kwa tabia zake ina maana hata wewe pia atakusumbua. Ila wengi wao wanajitambua na wanajua umuhimu wa kuwa na mtu na kutulia nae.
Naona unavyowapgia debe DA Rahabu Ila nyie wanawake nyie mnahangaika afu hamridhiki yn mko km fisi sichelei kusema hvyo nambie kwa nn.? NkujibuWasiwasi wako tuuu tena kuna baadhi ya wanawake wakisha zaa ndo wanakua na akili zaidiaana anajua nikizingua naachwa na ntaachwa hadi Lini na watoto anatulia maisha enyewe ya utawala huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
suala ni kwamba hata nikisema nitafute mwingine bado nakutana na single motherUkipenda kweli. Unajua jinsi ya kuishi nae.
Ukiona hauko tayari hujampata ulompenda
I'm the queen of my own empire. [emoji182]
hehehe mkuu kwaniniNaona unavyowapgia debe DA Rahabu Ila nyie wanawake nyie mnahangaika afu hamridhiki yn mko km fisi sichelei kusema hvyo nambie kwa nn.? Nkujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
hehehe mkuu kwaniniNaona unavyowapgia debe DA Rahabu Ila nyie wanawake nyie mnahangaika afu hamridhiki yn mko km fisi sichelei kusema hvyo nambie kwa nn.? Nkujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani yao kwa wanaume ndiyo inawaponza na sababu kubwa wanaume wa siku hizi siyo waoaji ni chapa ilale...nashukuru brother lakin unadhani kwanini kuna wimbi kubwa la single mother
Unamtafutia miaka 30 mwenzio kwa lazima wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tafuta wa primary akimaliza tu la saba weka ndani. ukizubaa tu utamuona na katumbo.