Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Cha kwanza na kikubwa ni wewe kuchunguza sababu kwanini huyo mwanamke amekuwa single mother,kama mwanaume alikuwa ndiyo sababu ya yy kuwa hivyo basi ukiona tabia zake zinafaa hakuna tatizo lolote maana siyo kwamba mwanamke single mother ni mcharuko. Ila kama yeye ndiyo chanzo kwa tabia zake ina maana hata wewe pia atakusumbua. Ila wengi wao wanajitambua na wanajua umuhimu wa kuwa na mtu na kutulia nae.
nashukuru brother lakin unadhani kwanini kuna wimbi kubwa la single mother
 
Wasiwasi wako tuuu tena kuna baadhi ya wanawake wakisha zaa ndo wanakua na akili zaidiaana anajua nikizingua naachwa na ntaachwa hadi Lini na watoto anatulia maisha enyewe ya utawala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
exactly, this is an insporational words, cha msingi asi judge kitabu by looking its cover, but he should go deep and determine to what extenr that book is better or bad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta wa primary akimaliza tu la saba weka ndani. ukizubaa tu utamuona na katumbo.
 
Ukipenda kweli. Unajua jinsi ya kuishi nae.
Ukiona hauko tayari hujampata ulompenda

I'm the queen of my own empire. [emoji182]
 
Cha kwanza na kikubwa ni wewe kuchunguza sababu kwanini huyo mwanamke amekuwa single mother,kama mwanaume alikuwa ndiyo sababu ya yy kuwa hivyo basi ukiona tabia zake zinafaa hakuna tatizo lolote maana siyo kwamba mwanamke single mother ni mcharuko. Ila kama yeye ndiyo chanzo kwa tabia zake ina maana hata wewe pia atakusumbua. Ila wengi wao wanajitambua na wanajua umuhimu wa kuwa na mtu na kutulia nae.
Ya nini kupoteza muda kufanya research wakati wanawake wasio na watoto wapo dahali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiwasi wako tuuu tena kuna baadhi ya wanawake wakisha zaa ndo wanakua na akili zaidiaana anajua nikizingua naachwa na ntaachwa hadi Lini na watoto anatulia maisha enyewe ya utawala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unavyowapgia debe DA Rahabu Ila nyie wanawake nyie mnahangaika afu hamridhiki yn mko km fisi sichelei kusema hvyo nambie kwa nn.? Nkujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikate tamaa. Utapata tu ambae Sio single Mather

I'm the queen of my own empire. [emoji182]
 
Wanawake wa humu watakushauri kuvutia kwao lakini mtaani hawa hawa Ndio dada zetu. Ukioa single parent watakusema mpaka uchanganyikiwe hata Kama wao wamezalia watoto home.

Yote Kwa yote, kwangu ni bora kulea mtoto wa dada yangu Kuliko wa mwanaume mwenzangu.
Hata watoto wa Kaka yangu huwa siamini kama ni ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinanani wanawafanya wanawake wawe single parent si ninyi ?anyway ukikua utajua mengi you still young

IRON LADY!!!!
 
Back
Top Bottom