jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Utaanzaje kuitwa baba kwa mbegu ya jamaa..usiwe zuzu kijana..tafuta mwezako ambaye ni fleshi kama wewe mbona wapo wengi tu..muanze kuitwa mama na baba pamoja..hao singo maza ni stress tupu..
Singo maza wanawezana na singo faza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Singo maza wanawezana na singo faza..
Sent using Jamii Forums mobile app