Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wasiwasi wako tuuu tena kuna baadhi ya wanawake wakisha zaa ndo wanakua na akili zaidiaana anajua nikizingua naachwa na ntaachwa hadi Lini na watoto anatulia maisha enyewe ya utawala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu akishapata tu pa kupumzikia huyo mzazi mwenza anaanza kula mzigo tena taratiiiiiiiiib. Me mama yangu aligoma kabisa nisiwe na mahusiano na singo maza japo huyo binti alikuwa njema mpaka kwenye dini yuko poa. tatizo tu ni singo maza
 
utakuwa huru ukiamua kuwa huru.. pia kabla ya kuoa single mama kama unavyoita jaribu kuchunguza sababu iliyopelekea yeye kuwa single, pili mawasiliano yake na mzazi mwenzie yakoje? nimeona wadada wamezaa lakini labda kwa bahati mbaya wanakuja kugundua mwanaume aliyezaa nae siyo type yake huaza fisa na wakiangalia umri bado upo ujitengenezea mazingira ya kuwa hivyo ili tu wapate wale wanaodhani ni type yao... na wapo kweli waliotelekezwa .. na wapo waliona kwa mwenendo huu na huyu mtu hapana ni kitanzi hichi inabidi ajisepee tu sababu hata kutunza mtoto alishindwa,... na wapo waliodanganywa na kumsaliti mzazi mwenzie na kuenda huko na kukuta ndivyo sivyo na kuamua kurudi kwa mzazi mwenzie akamakatalia.... na wapo ambao waliamua tu kuzaa kwa kutaka sura nzuri... na wapo uteen ulisababisha usingle ...

sasa ukishajua sababu iliyompelekea kuwa hivyo basi hakuna haja ya kuogopa wapo single mama walioumizwa na wanahitaji mapenzi tena ya dhati, na ni wake bora na wanaojitambua muhimu ni mkubaliane namna ya kuhandle hiyo situation...
kama unapesa utapata unayemtaka
Yani wewe mwanamke wewe! hapo tu, namnukuu miss chagga "kama unapesa utapata unayemataka"
Mleta uzi, wewe bado ni mdogo achana na mawazo yoooooote na ushauri wote uliopewa fuata huu wa mwisho wa miss chagga. Tafuta mawe mkuu utapata unaemtaka.
 
Wanawake wa humu watakushauri kuvutia kwao lakini mtaani hawa hawa Ndio dada zetu. Ukioa single parent watakusema mpaka uchanganyikiwe hata Kama wao wamezalia watoto home.

Yote Kwa yote, kwangu ni bora kulea mtoto wa dada yangu Kuliko wa mwanaume mwenzangu.
Hata watoto wa Kaka yangu huwa siamini kama ni ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mkuu wewe ndio jinias. Hizi ndio akili za ukubwani sasa
 
aise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happen
Aiseee!!!!!!!! Duuuu noma sanaa mkuu kwani wewe umeshakojolea wangapi???
 
tatizo wamejaa viburi
dharau na ujinga wacha waendelee lea jamii itayozidisha ujinga mitaani
 
Tatizo lao hao linakuja pale atakapoanza mikutano isiyoisha na mzazi mwenzie ya kujadili mustakabali wa mtoto wao!
Tena ukiingilia kati hiyo mikutano yao wewe utakuwa mbaya na utaitwa baba wa kambo mbaya sana huyu. utaambiwa wewe rafiki tu, huyu mwanangu damu yangu. kudaaaadeki. usijiroge mtoa mada
 
Single mather wengi wanajielewa sana kwahiyo akipata nafasi huitumia vzur xna hutojuta, mm mwnywe nimeoa single mother nahisi kama nlichelewa hv yan n full burudani mtoto anajua ku handle ndoa hatariiii, so sina tatizo nae na namsomeshea kid wake sina shida.
 
Habari wakuu,

Umri wangu ni miaka 27 na bado sijaoa wala sijafikiria kuoa nataka nianze kutafuta mwenza nikifika 30years, lakini hapa kilichonishtua ni wimbi kubwa la kina single mothers wadada kwa wamama wengi sana mitaani wana watoto na hawakai na wazazi wenza, asilimia 75 niliokutana nao hadi sasa ni single mothers, unakuta binti mrembo kafungasha rangi nzuri sura nzuri kidini mnaendana lakini kazalishwa na hana mume.

Mbaya zaidi hata ex wangu aliyenipaga kibuti alivyofika chuo kikuu sahivi na yeye ni single mother, yaani nimechanganyikiwa sijui pa kushika yaani naogopa sana kuoa single mother nahisi sitakuwa huru.

Mnishauri jamani namna ya kuishi na single mother ikitokea nimeangukia huko.
Nakuusia mdogo wangu sijui mwanangu (nakuzidi miaka 20), usiingie chaka la single mother, waepuke kama ndui!
 
Halafu akishapata tu pa kupumzikia huyo mzazi mwenza anaanza kula mzigo tena taratiiiiiiiiib. Me mama yangu aligoma kabisa nisiwe na mahusiano na singo maza japo huyo binti alikuwa njema mpaka kwenye dini yuko poa. tatizo tu ni singo maza
Huyo demu ni mlokole au swala tano
 
utakuwa huru ukiamua kuwa huru.. pia kabla ya kuoa single mama kama unavyoita jaribu kuchunguza sababu iliyopelekea yeye kuwa single, pili mawasiliano yake na mzazi mwenzie yakoje? nimeona wadada wamezaa lakini labda kwa bahati mbaya wanakuja kugundua mwanaume aliyezaa nae siyo type yake huaza fisa na wakiangalia umri bado upo ujitengenezea mazingira ya kuwa hivyo ili tu wapate wale wanaodhani ni type yao... na wapo kweli waliotelekezwa .. na wapo waliona kwa mwenendo huu na huyu mtu hapana ni kitanzi hichi inabidi ajisepee tu sababu hata kutunza mtoto alishindwa,... na wapo waliodanganywa na kumsaliti mzazi mwenzie na kuenda huko na kukuta ndivyo sivyo na kuamua kurudi kwa mzazi mwenzie akamakatalia.... na wapo ambao waliamua tu kuzaa kwa kutaka sura nzuri... na wapo uteen ulisababisha usingle ...

sasa ukishajua sababu iliyompelekea kuwa hivyo basi hakuna haja ya kuogopa wapo single mama walioumizwa na wanahitaji mapenzi tena ya dhati, na ni wake bora na wanaojitambua muhimu ni mkubaliane namna ya kuhandle hiyo situation...
kama unapesa utapata unayemtaka
Salute Mrs. Chagga. Analysis nzuri sana na ndo maana nakupendaga kwa kuwa neutral. Wasiwasi wangu kijana anaweza kushindwa kupata majibu ya hayo maswali uliyompa. Akishindwa namshauri atufute msuchana badala ya single mother. Akiwa na uvumilivu atampata tu japo wengi wameshusha mzigo tayari na wala siyo mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Single mather wengi wanajielewa sana kwahiyo akipata nafasi huitumia vzur xna hutojuta, mm mwnywe nimeoa single mother nahisi kama nlichelewa hv yan n full burudani mtoto anajua ku handle ndoa hatariiii, so sina tatizo nae na namsomeshea kid wake sina shida.
Vipi unamruhusu akaonanane na mzazi mwenzake
 
Tangaza kanuni za mahusiano mapema kabisaaa..............
1.kubaliana nae kuhusu malezi ya mtoto,ataishi wapi,nani anasomesha na kulea kwamaana ya matumizi ya kila siku
2.kubaliana nae kuhusu mawasiliano yake na huyo baba mzazi..kama mama mzazi wa binti yupo ni vyema huyo bwana apitie kwa bibi kuwasiliana na huyo.Kamwe ni kosa na dhambi isiosameheka kuwasiliana wao moja kwa moja(this may sound weird ila hali inalazimisha iwe hivi ili upate amani ya moyo).
3.Kubaliana na huyo binti juu ya zipi ni hatua utachukua ukigundua violation of your agreement.
mueleze waz kua sio kwamba you're insecure,ila unataka kuchora mpaka wa boma lako maana wewe ndi mmiliki sasa na una jukumu la kulipa heshima boma hilo na ni yeye,akiamua, anaeweza kuvunja heshima hiyo.
After that,kama akikubali,you're good to go.mpe mahaba yote na usimkumbushe upumbav aliofanya kabla hujakutana nae(hii mwanamke akinifanyia twaweza achana on the spot!)
Well said mkuu but these people are crazy. atakubaliana na masharti yote hayo lakini atayakiuka yote hay. na kumbuka kipindi hicho na wewe ushazaa nae, kumuacha unashindwa unawaza mwanao halafu anakuletea manyago ya kutosha. simple, wanawake wapo kibao huko why ukahangaike na magandaeka?
 
Single mother hapana hapana hapana! Sisemi wasiolewe, wapo wa kuwaoa wenye uzoefu kama wao. Single mother akikutana na single father au mwanaume aliyejithibitisha ni mgumba hapo swadakta kabisa! Lakini si kwa mume mpya kijana ambaye hajawahi kuoa au kuzaa, ni kuharibiana maisha tu.
 
suala ni kwamba hata nikisema nitafute mwingine bado nakutana na single mother
Mtafutaji hachoki na badi umri wako mdogo. Bado una miaka 3 ya kutafuta. Ukiweza oa wa kwako achana na single mother. Kuwa na nia hiyo utafanikiwa. Kuoa mke mwenye mtoto ni shida. Unaweza usione hilo mapenzi yakiwa siku za mwanzoni lakini kadiri siku zinavyokwenda ndo utakuja kigunfua ulifanya makosa. Mi nakushauri jitahidi kadiri unavyoweza hutakosa mwanamke ambaye hana mtoto.
 
Wasiwasi wako tuuu tena kuna baadhi ya wanawake wakisha zaa ndo wanakua na akili zaidiaana anajua nikizingua naachwa na ntaachwa hadi Lini na watoto anatulia maisha enyewe ya utawala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kufikiri single mother no wife material. Ukichunguza kwa ndani wengi hufanya hivyo kama njia ya kuwakonga nyoyo walioachana nao. Kwahiyo mwanaume ambaye umeamua kuwa na single mother waweza kuwa unatumiwa bila kujijua lengo likiwa ni kulipiza kisasi kwa mzazi mwenzie. Wengi nimewaina wa namna hiyo. Wakishazalishwa akili huwa haitoki kabusa kwa ex. wao.
 
Kinanani wanawafanya wanawake wawe single parent si ninyi ?anyway ukikua utajua mengi you still young

IRON LADY!!!!
Wengi hufikiri kuna maisha ya asali na maziwa na hivyo kuleta vituko vya kutoolewa. Wakikaa wakatulia akili huwarudia na kuona walifanya makosa ila mara nyingi huwa wamechelewa tayari.
 
Back
Top Bottom