Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Salute Mrs. Chagga. Analysis nzuri sana na ndo maana nakupendaga kwa kuwa neutral. Wasiwasi wangu kijana anaweza kushindwa kupata majibu ya hayo maswali uliyompa. Akishindwa namshauri atufute msuchana badala ya single mother. Akiwa na uvumilivu atampata tu japo wengi wameshusha mzigo tayari na wala siyo mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu kuoa ni hatua kubwa katika maisha ni nafasi uliyopewa ya kuchagua Wa kusihi naye kwa maisha yako yaliyobakia. Huwa nasema ni chaguo lako ni bora kuchukua mda kuchagua kuliko kuangukia sehemu isiyo sahihi...japo kujua kama ni sahihi au hapana haina guarantee ya muda ..
 
mapenzi baba mapenzi unampa yote .... kuna ndugu yangu alitiwa mimba na mrombo mmoja purukushani za malezi akamuuliza "NANI ALIKUAMBIA UNIPE CHA MIMBA" hii kauli ilinifanya niwaze kuna sehemu ya kuweka cha mimba na sehemu nyingine siyo ya mimba wanaume ninyi ni nyoko
Usikute binti alikuwa kwenye joto siku hiyo. Biology ilivyo hata ninyi wanawake kuna wakati mnakua kwenye heat kama inavokua kwa ng'ombe.Tofauti ninyi hamuwezi kupiga kelele kama ilivyo kea wanyama kwa kuogopa kuchekwa. Issue inakuja mwanaume amekutokea uko kwenye hali hiyo , mara nyingi maamuzi ya kumkataa ni magumu. Na hii wakati mwingine ni chanzo cha mimba zilizo nyingi. Kisha baadae hamkawii kulaumu wanaume mkisahau walivyowasaidia kuwatua mzigo mliokuwa nao siku hiyo ya tendo.
 
Sema mambo ya ndoa amaa mahusiano ni kitu kimoja cha msingi in this life we live
Az a number of them huwa hawapendi uwagusie suala la kuoana tena labda kuchapana na kusepa
But to u cha msingi tafuta hela uwe na maisha yako kama tayari una gudlife watakuja wenyewe au hauna sula mkuu i mean ww ni sura ya mbuzi au endisam boi

Sina maana mbaya NAJARIBU kuelewa how ur man

Maneno mengi hayavunji mfupa tafuta wako fresh uanze nae
Pia if u like them cha msingi mchunguze sana ukipata bakgraundi yake kama nzuri marry her vice versa of it is true

Mawasilisha hoja (na)
 
Kabisa mkuu kuoa ni hatua kubwa katika maisha ni nafasi uliyopewa ya kuchagua Wa kusihi naye kwa maisha yako yaliyobakia. Huwa nasema ni chaguo lako ni bora kuchukua mda kuchagua kuliko kuangukia sehemu isiyo sahihi...japo kujua kama ni sahihi au hapana haina guarantee ya muda ..
Well said. Na wengine wameshindwa kuoa kwa kutaka kupata perfect partners. It comes a time inabidi ufanye maamuzi bila kuwa na guarantee.
 
kati ya kosa kubwa ulilofanya ni kuanza kutafuta ukiwa na miaka 30, wenzako hiyo miaka ndio wanaoa
 
Usikute binti alikuwa kwenye joto siku hiyo. Biology ilivyo hata ninyi wanawake kuna wakati mnakua kwenye heat kama inavokua kwa ng'ombe.Tofauti ninyi hamuwezi kupiga kelele kama ilivyo kea wanyama kwa kuogopa kuchekwa. Issue inakuja mwanaume amekutokea uko kwenye hali hiyo , mara nyingi maamuzi ya kumkataa ni magumu. Na hii wakati mwingine ni chanzo cha mimba zilizo nyingi. Kisha baadae hamkawii kulaumu wanaume mkisahau walivyowasaidia kuwatua mzigo mliokuwa nao siku hiyo ya tendo.
Ha ha eti msaada wengine unakuta hata hakutua mzigo ila ndiyo hivyo mimba tayari..
 
Kwa ufupi nimezunguka na kuishi karibu robo tatu ya Tanzania ukiondoa visiwa ambako sijafika. Maeneo yote niliyozunguka mengi nimeishi nyumba za kupanga, hivyo nimebahatika kukutana na watu wa makabila mbalimbali na tamaduni mbalimbali. Jambo nililolinote karibu maeneo yote niliyoishi ni vipigo na matusi kwa watoto wanaolelewa na single mother. Pia hata watoto wanaolelewa na mama ambaye anapata manyanyaso sana katika ndoa yake.

Kwa upande wa pwani maeneo ya waswahili ukanda wa bahari watoto hawapigwi sana kama watoto wa bara, watoto hawa wanakumbana na matusi. Katoto ni kadogo pengine hata kunyonya hakajaacha mama anakaporomoshea matusi hadi unastuka kapatwa na nini au wakati mwingine anakafinya au kukapiga. Upande wa bara matusi sio sana ila vipigo utafikiri mama anaua nyoka...

Sasa huwa najiuliza kwanini wamama single wanawatukana sana watoto au kuwapiga kuliko wamama walio kwenye ndoa, sometimes huwa najiuliza hivi hawa watoto walilazimishwa kuwazaa, na kwanini hasira binafsi anamaliziwa mtoto asiye na hatia, ukweli huwa sipati jibu...

Wadau hebu toeni maoni yenu kwa kuzingatia experience kwa maeneo mnayoishi.

Note: Lengo siyo kuwaataki single mothers au wenye ndoa zenye majanga, lengo ni kushare sababu zinazopelekea kumalizia hasira kwa mtoto asiye na hatia hasa ukizingatia kuna makosa mtoto anakosa kutokana na umri wake

Note: Siyo wamama wote ila wengi wao hasa kwa watoto wanaochezea kichapo na kuoga matusi
 
Kisaikolojia,kuna mambo kadhaa yanayoweza kuwa sababu

1. Mama amekuzwa kwa mtindo huo wa matusi na kipigo,the way alivyolelewa ndivyo anavyolea

2. Defensive mechanism, maana ake kuwa maumivu na stress za kuwa single mother zinhamia kwa mtoto.

3. Watoto wengi wamakuwa na makuzi ya kuamini na kuogopa sura ya kiume,so anapokuwa na mama pekee hufanya kudeka na bahati mbaya sasa ukute mama n mwenye huruma sana adhabu zake ni maneno sana au hakuna KABISA (kudekeza)

4. Kukosa uwezo wa malezi (parenting style) mzazi hajui malezi sahihi, wengi wanatumia uzoefu sana kuliko proper strategies

Anyway kuna weza kuwa na sababu nyingine lakini hiyo hali inaweza kutokea hata kwenye familia ya wazazi wote wawili,,issue kubwa kwa wazazi ni NAMNA YA MALEZI BORA NA SIO BORA MALEZI ( PARENTING STYLE SKILLS)
 
Sio hao tu, bali hata walio kwenye ndoa ambazo mume ana muda mchache wa kukaa na mkewe pia watoto hupata vipigo. Inasemekana mwanamke anakuwa na mambo mengi ya kusema na mumewe. Lakini anapokuwa amekosa pa kuongelea basi huwa na hasira zisizokuwa na sababu, na ndio huishia kwa mtoto.
 
IMG_20170927_214319_072.jpg
 
Inashangaza na kusikitisha sana haiwezekani Hasira zako huko wewe single mother uzishushie kwa mtoto, huo sio uleaji sasa...Humfunzi mtoto maadili mazuri..Badilika WEWE SINGLE MOTHER Unayesoma hapa
 
Back
Top Bottom